huduma za mikopo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pdidy

    Kila ukiingia mtandaoni unakutana na swali: "Je, unataka mkopo?" Na sisi tunawauliza; je, mmetumwa?

    Je, mnataka kuzulumiwa? Je, mnataka tukope tuwakimbie? Je, mnataka tusiwalipe? Je, mtatushtaki wapi? Je... Je.... Je... Embu acheni hizo bwana msitake tukope tuanze kuaibishanaa kwenye msg pls
Back
Top Bottom