hujuma za uchaguzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ngara23

    Waziri Masauni na IGP Wambura jiuzulu

    Watanganyika wenzetu wanatekwa, kupoteza na kuuawa katika ardhi yetu na mchana kweupe Idadi ya vifo na utekaji vimeongezeka Uchunguzi usiokuwa na majibu juu ya waliomteka Mzee Kibao hapa Masauni msibani ulienda ukaahidi utafanya uchunguzi na utakuja na majibu haraka, ila miezi minne Sasa Bado...
  2. Waufukweni

    LGE2024 Askofu Dkt. Shoo atoa wito kwa Wasimamizi wa Uchaguzi na Serikali kuchukua hatua dhidi ya Hujuma za Uchaguzi

    Akizungumza hii leo na waandishi wa habari kuhusiana na zoezi la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa linaloendelea nchini, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) na Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Fredrick Shoo ameitaka serikali na...
  3. G

    LGE2024 Ni kweli asilimia kubwa Chadema ndiyo hawajui kujaza fomu? Na ikiwa ni hujuma wanataka kulipekeleka wapi Taifa letu?

    Wakuu nikiri Mimi ni muumini wa haki bila kujali chama chochote Cha kisiasa. Maslahi ya taifa na nchi yetu ndo muhimu zaidi kuliko maslahi ya chama au maslahi ya Kiongozi yoyote kwenye nchi hii Nianze kunukuu maandiko ya Mfalme mwenye hekima aliyeandika na ukaingia kwenye maandiko Mtakatifu...
  4. Chakaza

    Wanaoharibu haki Yetu ya uchaguzi na waibao Kura, nisawa na vibaka je tuwaadhibu kivyetu vyetu?

    Jambo la Haki ya Kuheshimu Uchaguzi wa Viongozi na Uchaguzi wenyewe Linafanyika ulimwengu wote wa wastaarabu. Wafanyao hivyo mfano kwa uchaguzi huu wa serikali za mitaa ambako Watendaji wa Kata, viongozi kadhaa wa vyama na wagombea wao wanashiriki kuhujumu wananchi wasitumie demokrasia kuchagua...
Back
Top Bottom