hukumu mahakamani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Arusha: Mume avunja nyumba mtoto akiwa ndani, alimpa talaka mke

    Katika hali isiyo ya kawaida kutoka ya Wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha Mwanamke mmoja amelalamika kuvunjiwa nyumba aliyokuwa akiishi yeye pamoja na mtoto wake nyumba hiyo imevunjwa na aliyekuwa Mume wake, Baada ya kumpa talaka Mahakani. Mwanamke huyo anadai kwamba nyumba hiyo walijenga pamoja...
  2. A

    Msaada: Nini kinatakiwa kufanyika ikitokea kikundi kimoja kilishindwa kesi lakini kikaendelea kushirikiana na wizara kuendelea kupinga hukumu hiyo?

    Naomba kujua, hivi ikitokea kuna vikundi viwili vinashtakiana mahakamani na kikundi kimoja kikashindwa na kingingine kilichoshindwa kikakaidi kutumia hiyo hukumu, na kushirikiana na wizara wanaendelea kuvunja hiyo hukumu. Nini kinachoweza kufanyika ili kuondoa huu mkorogo? Hasa vikundi vya dini.
  3. Miss Zomboko

    Dar: Mtoza Ushuru wa Stendi ahukumiwa kwa kuomba Rushwa ya Tsh. 150,000

    Februari 15, 2024 kesi namba cc 3998/2024 imeamuliwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni ambapo imemtia hatiani Bw. MOSES JOHN ZIMBA (Mkusanya Ushuru Stendi ya Mabasi Bunju), kwa kosa la Kuomba na Kupokea Rushwa kinyume na kifungu cha 15(1)(a) cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa [CAP...
Back
Top Bottom