https://youtu.be/cQ8my9Fu7jU?si=8G2_TzDMHKYELqgD
➡Huyu hapa ni Mkurugenzi Mtendaji wa asasi ya kiraia ya kulinda na kutetea haki za binadamu - Tanzania Human Rights Defenders Coalition (THRDC) Bwana Onesmo Olengurumwa akifafanua dhana dhima ya kauli mbiu ya kudai mabadiliko ya kikanuni...
Siku ya Tarehe kumi na tano ya wiki iliyopita, katika eneo la Engaruka wilaya Monduli mkoani Arusha,palitokea tukio la Kinyama la mtoto wa Miaka kumi na Tano ajulikanae kwa JIna la Namasi kufungwa katika Mti na kuadhibiwa kwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake na kusababisha kupata majeraha...
GENEVA (17 Oktoba 2024) – Wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wametoa wito kwa Tanzania kumaliza ukiukwaji wa haki za binadamu unaoendelea dhidi ya wanachama wa vyama vya upinzani, mashirika ya kiraia, waandishi wa habari, na watetezi wa haki za binadamu.
Katika kuelekea uchaguzi...
Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema serikali ya Tanzania inapaswa kuchukua hatua madhubuti ili kuondoa hali ya kuzorota kwa hali ya haki za binadamu kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
Taarifa iliyotolewa Jumatano na shirika hilo, imeeleza kuwa tangu mwezi...
Bakari Ubena - Dw Swahili
Kumeibuka hali ya kutia wasiwasi barani Afrika ambapo watu wanaofichua taarifa mbalimbali hawapatiwi ulinzi wa kutosha baada ya kufichua maovu, na mara nyingi watu hao hujikuta wakijipigania usalama wao na wa wapendwa wao.
Wafichuaji hujikuta wakilaazimika kujilinda...
Slave auction today 2024!Not one peep from the so called civilized society and human rights organizations.No media
MAY 19, 2024
Video below shows another "Sale" of children taking place today in the Congo. Local Africans grab the children from rival villages, march them to the mines, then...
Organizational Setting and Reporting
This post is found in the Office of the High Commissioner for Human Rights (OHCHR) Regional Office for East Africa and based in Dar Es Salaam, Tanzania. The incumbent reports to the Resident Coordinator and to the East Africa Regional Representative...
Haki ya kufa, mara nyingi hujulikana kama kujiua kwa msaada wa daktari (PAS), ni suala tata na nyeti. Hata hivyo, kupuuza mateso ya watu wanaopitia maumivu makali kwa muda mrefu kutokana na sababu mbalimbali kunakuwa kukosa kuheshimu haki yao ya msingi ya heshima(dignity).
Katika uwanja wa haki...
Topic: Masterclass: Business and Human Rights in Digital Era.
Speakers: Jovina Mchunguzi, Godfrey Munisa and Maxence Melo (JamiiForums)
JamiiForums inashiriki katika CSO week inayofanyika Arusha ambayo inatarajiwa kuisha leo, Oktoba 27, 2023.
Siku ya leo, Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums...
Sheria na sera zinazoendeleza usawa wa kijinsia ni msingi wa mabadiliko katika jamii. Nchi zinazoongoza kwa kuwa na sheria zinazolinda haki za wanawake zinapunguza kwa kiasi kikubwa matukio ya unyanyasaji wa kijinsia. Kwa mfano, nchi zilizo na sheria dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia katika ndoa...
haki za kibinadamu
humanrights
kuendeleza
pengo la kijinsia
sera
sheria
sheria na sera
social justice
social justice 2023
ubaguzi wa kijinsia
usawa
usawa wa kijinsia
women
Mila zimekuwa nguzo muhimu katika utamaduni wa jamii, zikichangia kudumisha uhusiano na kuleta umoja. Hata hivyo, katika hali fulani, mila hizi zinaweza kuwa chanzo cha madhara makubwa ambayo hayawezi kupuuzwa. Swali lililoulizwa na Mbunge wa Viti Maalum, Maryam Azan Mwinyi, kuhusu mila ya...
Usawa wa kijinsia unahusisha kutoa fursa sawa na haki kwa wanawake na wanaume katika maeneo yote ya maisha. Hii inajumuisha fursa sawa za elimu, ajira, afya, uongozi, na ushiriki katika maamuzi. Hata hivyo, bado kuna pengo kubwa la kijinsia katika maeneo mengi duniani, na hili linaweza kuwa na...
Kupata usawa wa kijinsia si tu suala la haki za kibinadamu, bali pia ni jambo linalochangia kwa kiasi kikubwa katika maendeleo ya kijamii, kiuchumi, na kisiasa. Katika dunia ya sasa, jitihada za kuleta usawa wa kijinsia zimekuwa kitovu cha mijadala ya kimataifa na jitihada za serikali, mashirika...
Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limesema Mamlaka za Tanzania zimewashikilia au kuwatishia takriban watu 22 tangu Juni 10, 2023, wakiwemo waandamanaji, baada ya kukosoa Bunge la Tanzania kuridhia makubaliano ya usimamizi wa bandari za Tanzania
Mkataba huo utaruhusu...
bandari
binadamu
haki za binadamu
humanhumanrightshumanrights watch
kimataifa
kukamata
mkataba
mkataba wa bandari
nchini
serikali
serikali ya tanzania
tanzania
ubinafsishaji
wakosoaji
wapinzani
watch
Watu wengi wanafurahia utulivu na amani katika maisha yao, lakini kuna maeneo mengi duniani ambapo vita na migogoro inaathiri maisha ya watu, haswa watoto. Watoto wanaotendewa ukatili katika maeneo ya vita ni waathirika wasio na hatia ambao wanakabiliwa na madhara makubwa ya kiakili, kimwili, na...
Haki za binadamu ni msingi muhimu katika maendeleo na ustawi wa jamii. Ukiukaji wa haki za binadamu si jambo la kuchukulia mzaha, na inahitaji tahadhari na hatua thabiti. Katika muktadha wa Tanzania, takwimu zinaonesha umuhimu wa kukabiliana na suala hili kwa dhati.
Katika Ripoti ya Haki za...
Utafiti uliofanywa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) umeonesha kuwa Watoto ndio waathirika wengi wa matukio yaliyoripotiwa na kurekodiwa ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Tanzania kwa (47%), wakifuatiwa na wanawake (33%), wazee (10%) na Watu wenye Ulemavu (4%).
Pia, kwa...
ELIMU YA KITANZANIA NI TIKETI YA KWENDA DUNIA MPYA
Tanzania ni kati ya nchi hapa Africa ambazo zinapigana kukuza elimu yake ila bado ina changamoto nyingi. Wengi husema “Elimu ndio ufunguo wa maisha “ ila Watanzania wengi hupotea kwa sababu ya mfumo mbovu wa elimu ulioekwa na serikali ya...
Watetezi wa Binadamu wa Human Rights Watch( HRW) wamesema Morocco inawafunga waandishi wa habari kwa mashtaka yasiyo ya kisiasa ili kuwanyamazisha, baada ya Omar Radi na Soulaimane Raissouni, kuhukumiwa karibu miaka 5 jela kwa makosa ya unyanyasaji wa kingono
Pia mwaka 2018 Taoufik Bouachrine...
Mahakama ya Ulaya ya Haki za Binaadamu (ECHR) imeitaka Urusi kuzuia hukumu ya kunyongwa kwa raia wawili wa Uingereza waliohukumiwa kifo katika eneo la Mashariki mwa Ukraine.
Waingereza hao Shaun Pinner na Aiden Aslin waliohamishia makazi yao Ukraine na kujiunga na jeshi la Nchi hiyo mwaka 2018...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.