Rais Joe Biden ametoa msamaha " kwa mtoto wake Hunter Biden, dhidi ya mashitaka yanayomkabili katika taarifa iliyotolewa na Ikulu Desemba 1, 2024.
Hunter Biden alikua akisubiri kusomewa hukumu ya mashitaka yake Desemba, 2024
Septemba 2024 mtoto wa Rais wa Marekani, Hunter Biden (54)...