Wakuu nimeamua kufungua huu uzi kwa lengo la kujifunza Mambo mbalimbali fikirishi na makubwa kwa lengo la kuongeza na kupanua uelewa wetu juu ya masuala mbalimbali ya Kisiasa,kiuchumi,kijamii,kiusalama,kiutamaduni yanayobeba dhima Nzima ya Utaifa ili kujenga Taifa Bora na Imara kwa kizazi Cha...