icecream

  1. realMamy

    Naomba “Recipe” Nzuri na Rahisi ya kutengeneza “Icecream” za nyumbani.

    Napenda sana kujifunza Mapishi mbalimbali na kutengeneza nyumbani. Lakini linapokuja Suala la “Icecream” za Maziwa kuna kitu Bado sijaelewa vizuri. Wajuzi wa kutengeneza naomba msaada.
  2. Lalita

    INAUZWA Nauza machine ya kutengeneza soft Icecream

    Habari, Kwa yoyote anayehitaji hii machine, naiuza, ni yangu, nimeitumia kwa miezi miwili tuu, ni nzima kabisa, nauza kwa sababu nimekosa muda wa kusimamia, machine ipo Morogoro. Bei ni 1,600,000, kama utahitaji piga simu no. 0628015467
  3. Balozi Mzalendo

    INAUZWA Tunauza mashine za ice cream (icecream makers machines)

    Habari wana-jamiiforums, Tunauza mashine za kutengeneza Icecream (Icecream Makers Machines). Mashine zetu ni mpya kabisa. Pia endapo utanunua kwetu, tutakuelekeza jinsi ya kutengeneza icecream sambamba na kukuagizia spares moja kwa moja kutoka kiwandani endapo utahitaji. Sifa za mashine zetu ni...
  4. M

    INAUZWA Tunauza bidhaa mbalimbali, Tunapatikana Kariakoo Ndanda st

    Machine mpya kabisa kwa ajili ya kukatia nyama,samaki na mifupa Ni imara na haikati misumeno Ina watts 550 Ina sehemu ya kusagia nyama Ina warranty mwaka mmoja Bei 1,350,000 tu Tunapatikana kariakoo ndanda st Tunadeliver free kwa dar pia. Call/text/WhatsApp 0656666662.
  5. ubuntuX

    INAUZWA Gelato Hard ice cream machine for sale

    Tunauza machine mpya kabisa kwa za hard ice cream au maarufu gelato. Voltage: 110V/220V 50/60hz Power: 1.6KW Size: 525 x 490 x 640mm Weight: 65kg Cylinder : 5L Cylinder Size: 22 x 10.5cm Capacity: 20L/h Machine ina uwezo wa kuzalisha mpaka lita 20 kwa saa,unaweza pia ukaweka...
  6. K

    Nauza mashine ya icecream (lambalamba za vijiti), freezer na madeli

    Wakuu habari zenu. Nauza mashine ya chostic zile za kulamba (za vijiti) kama za Azam. Mashine bei ni Million 1, vikopo vyake ni 270 kila kimoja. Inagandisha chostic 80 ndani ya dakika 20. Pia nauza freezer la kioo (heavy duty), bei laki 7. na madeli nauza 65,000 kila moja na yako madeli...
Back
Top Bottom