icu

ICU Medical, Inc. is a San Clemente, California-based company with global operations that develops, manufactures, and sells medical technologies used in vascular therapy, oncology, and critical care applications.
ICU Medical’s products are designed to prevent bloodstream infections and protect healthcare workers from exposure to infectious diseases or hazardous drugs. ICU Medical's product line includes intravenous therapy (IV) products, pumps, needle-free vascular access devices, custom infusion sets, closed system hazardous drug handling devices and systems, sensor catheters, needle-free closed blood sampling systems, and hemodynamic monitoring systems.ICU Medical’s products are designed to prevent bloodstream infections and protecting healthcare workers from exposure to infectious diseases or hazardous drugs. In addition, the company's IV medication compounding and delivery products are designed to improve medication and dosing accuracy and improve clinical workflows. ICU Medical has been named one of the 100 Most Trustworthy Companies in America by Forbes Magazine.

View More On Wikipedia.org
  1. Msijemwambia Pele kuwa anafananishwa na Messi

    Jenga picha Pele Mchawi wa Mpira, Huyu katika Biblia ya Soka ni Moses. Ni nabii mkubwa sana. Just imajini akiwa kitandani aambiwe Lione Messi anafananishwa naye. Atakata roho hapo hapo kwa uchungu. Msije mwambia jambo hili. Please sisi tuliokuwepo toka zamani tunao heshimu mpira na watu wake...
  2. Wafanyakazi Wasoma Mita wa Dawasco na Mgawo huu wa Maji DSM msipokuwa na Majibu ya Kinidhamu mtaishia ICU Muhimbili

    Mteja... Ndugu Mfanyakazi wa Dawasco mbona Kwetu sasa Maji hayatoki Wiki Mbili? Mfanyakazi Dawsco.... Kwa Matajiri na Wakubwa Masaki sasa wana Mwezi wa Pili umesikia au kuona Wanalamika? Mteja..... Ndugu Mfanyakazi wa Dawasco imekuwaje leo Kawe Maji mmeyafungulia Saa 1 Asubuhi na kuyakata...
  3. Taa za disko zafungwa Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU) Katavi

    Wadau Katika pita pita zangu nimekuta na hii habari, binafsi siamini kama kweli Watendaji wa Serikali ya Katavi wamelikalia KIMYA suala hili hebu tusubiri tuone kama kuna Uwajibikaji kwa Wahusika au Mpaka Waziri Mkuu atoke Japan aende Katavi. ==================== Taa za disko zafungwa ICU...
  4. Natafuta Watu 'Serious' niwape 'Strategies' na waunde Chama 'Strong' cha Upinzani Tanzania kwani vilivyopo sasa viko ICU vinasubiri Kufa na Kuzikwa tu

    Kwa Wanasiasa mlio na utayari jikusanyeni na mkikamilika mnitaarifu haraka ili tuanze Kazi na nitakuwa nawaelekezeni kutokea hapa hapa JamiiForums tu na sitohitaji Kuonana nanyi. Nakipenda sana Chama Cha CCM na Rais Samia ila GENTAMYCINE napenda kuona CCM na Rais Samia 'wakihenyeshwa' 24/7 na...
  5. Refa Aragije kuwa makini sana tafadhali, kwani Kesho ukifanya Mzaha unaweza kujikuta unaishia ICU Meru Hospital

    Hizo Simu ambazo kila mara unapokea pokea tu kuwa nazo makini na Kesho chezesha kwa Haki sasa haribu ukione. Wenye Akili na Mapenzi na Mkoa wa Tanga tunajua kuwa Coastal Union FC ya Kesho itakuwa si ile Watu waliyoizoea bali ya Kesho itakuwa kama FC Barcelona au PSG FC kwa itakavyoupiga mwingi...
  6. R

    Kukiita kipindi cha UMBEA ICU ni kuikosea heshima taaluma ya Afya ,wahusika mnakosea sana .

    Habari wana Jf , Hivi unawezaje ita kipindi cha umbea jina la Chumba ambacho ni chumba maalumu cha wagonjwa mahututi wanao pigania uhai wao ? Kibaya zaidi unavaa sare za wahudumu na kuanza jadili umbea ,nadhani ni kebehi na kukos heshima kwa watumishi wa afya .
  7. Watu 14 washikiliwa kwa tuhuma za kurekodi video mgonjwa akiwa ICU Muhimbili

    Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) linamshikilia ALLEN SAMWEL MHINA, Miaka 31, Mbondei, Mkurugenzi wa Mtandao wa kijamii wa U-turn Collection mkazi wa Temeke Mwembeyanga na wenzake 13 kwa tuhuma za kusambaza video katika...
  8. Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

    Hiki kitendo kimefanyika si Cha kiungwana hata kidogo na kimefanywa na watu ambao huwezi kutegemea. Inadaiwa kuwa madaktari na wauuguzi waliokua ICU wakimhudumia Prof J wamechukua video na kwenda kumuuzia yule dada ili aisambaze mtandaoni. Sio uungwana hata kidogo. Serikali kupitia hiyo video...
  9. Edward Ngoyai Lowassa anaumwa, alazwa ICU Muhimbili

    Wakuu, Kwa taarifa za uhakika, Waziri Mkuu wa zamani, Ndg. Edward Lowassa ni mgonjwa na amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili. ======== UPDATE: Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa amelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kufanyiwa upasuaji wa tumbo. Taarifa kutoka kwa...
  10. Polisi jijini Dar wamjeruhi mtuhumiwa, yupo mahututi ICU

    Polisi Goba, Dar, wajeruhi kwa kipigo, majeruhi yuko ICU, anapumlia mashine, madaktari wasema, kupona kwake utakuwa muujiza wa Mungu.... Jumatano, November 10, 2021, Polisi Goba walimkamata Issa Kassim (20), nyumbani kwao huko Goba kwa madai kwamba ameuziwa TV ya wizi, tukio ambalo mtuhumiwa...
  11. Kama ulipelekwa ICU February ...

    Kama ndo wewe ulipoteza fahamu ukapelekwa ICU mwezi February.. Ukafanikiwa kutoka na kupona mwezi wa nane...yaani miezi sita ulikuwa hujui Nini kinaendelea nchi hii.. Ghafla unatazama TV ..Rais ni Samia.. Unajaribu kuuliza unaambiwa JPM alifariki..zinakuja habari za michezo .. Msemaji wa Yanga...
  12. Utafiti: Wagonjwa waliokaa ICU wapo kwenye hatari ya kujidhuru na kujiua

    Utafiti uliofanywa na Watafiti kutoka Ottawa umebaini kulazwa Chumba cha Uangalizi Maalum (ICU) huongeza hatari ya Mtu kutaka kujiua au kujidhuru baadaye. Imeelezwa, kitendo hicho kinaweza kuwaathiri Wagonjwa kwani kukaa Hospitali wiki au miezi kadhaa kisha kupitia kupindi cha uponaji ili mwili...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…