Naomba kutoa kero yangu juu ya adha kubwa ya maji eneo la Nyegezi na viunga vyake!
Kimekuwa na kero kubwa sana ya maji Nyegezi kiasi kwamba tunajiuliza watendaji wa Idara ya Maji eneo la Nyegezi wanawajibika au la!
Nyegezi ni eneo lililoko mjini lakini mnaweza kaa hata takribani wiki tatu bila...
Nimeshindwa kuridhika na mfumo wa malipo ya bili za maji. Naomba Idara ya Maji wazingatie kuleta mfumo wa LUKU kama wa TANESCO, ili tuweze kununua maji wenyewe kulingana na matumizi yetu.
Pongezi kwa TANESCO kwa mfumo bora wa LUKU. Lakini kwa upande wa Idara ya Maji na bili zenu, bado...
Idara ya maji mkoani mbeya wanaweka kiasi kikubwa cha madawa water guard hadi maji yanapoteza ladha lakini yanaleta madhara ya kiafya kwa watu maana wanaweka muda huo huo na kutumika.
Ukinywa maji hutamani kunywa tena.
Wizara ya Maji
Naandika kwa masikitiko makubwa sana Leo ikiwa ni siku ya tatu maji hayatoki .
Hakuna taarifa yoyote ya katazo la maji kwa wananchi wa kata ya Nyasubi Kahama.
Tumejaribu kutoa taarifa tunajibiwa kiurahisi tu eti , Kuna matengenezo siku tatu kweli?
Na bado mwisho wa mwezi bili unakuja kubwa...
Malamba Mawili maji ni ya mgao yanaweza maliza wiki 2 bila kutoka na yakitoka yanatoka usiku wa manane yakitoka kidogo kidodo, yanachirizika hayana kasi hata kidogo kiasi ambacho baadhi ya watu ambao nyumba zao zimepo kwenye miinuko kidogo maji hayafiki kabisa.
Kuna baadhi ya watu wana miezi...
Nimelipa gharama za kufungiwa maji na vifaa nimenunua tangu tarehe 2 January 2024 lakini wanazungushana kutoa mita.
Mhasibu anasema mpaka fundi aje na fundi anasema mpaka aitwe kwenye kazi. Kama vile hakuna ushirikiano wa kazi lakini wao ofisi moja.
Mwanaume mmoja huko SINGIDA MJINI achafukwa kwa ukosefu wa maji mitaa ya MISUNA na kuamua kuingo'a mita ya maji na kuirudisha kwa wahusika..Angalizo; Enzi za jiwe haya hatukuyaona..ova
Idara ya maji Arusha, hawapo makini katika utendaji wao wa kazi na pia hawajali wateja wao, wanacho juwa ni kusoma meta za maji na kutuma bili, hiii siyo sawa.
1: Maji ya arusha Kwa sasa ya Latha ya chumvi niliwapigia simu na kusema watafanyia kazi Hadi Leo ni kimya
2: Bomba limepasuka hii ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.