idara ya maji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Idara ya Maji Nyegezi Mwanza (MWAUWASA) jitafakarini suala la ukosefu wa maji

    Naomba kutoa kero yangu juu ya adha kubwa ya maji eneo la Nyegezi na viunga vyake! Kimekuwa na kero kubwa sana ya maji Nyegezi kiasi kwamba tunajiuliza watendaji wa Idara ya Maji eneo la Nyegezi wanawajibika au la! Nyegezi ni eneo lililoko mjini lakini mnaweza kaa hata takribani wiki tatu bila...
  2. Lugano Edom

    KERO Ukiwatoa TANESCO, bado Idara ya Maji haieleweki kabisa linapokuja suala la bili zao

    Nimeshindwa kuridhika na mfumo wa malipo ya bili za maji. Naomba Idara ya Maji wazingatie kuleta mfumo wa LUKU kama wa TANESCO, ili tuweze kununua maji wenyewe kulingana na matumizi yetu. Pongezi kwa TANESCO kwa mfumo bora wa LUKU. Lakini kwa upande wa Idara ya Maji na bili zenu, bado...
  3. A

    KERO Mamlaka ya Maji Mbeya wanazidisha dawa ya kutibu maji na kupelekea yapoteze ladha

    Idara ya maji mkoani mbeya wanaweka kiasi kikubwa cha madawa water guard hadi maji yanapoteza ladha lakini yanaleta madhara ya kiafya kwa watu maana wanaweka muda huo huo na kutumika. Ukinywa maji hutamani kunywa tena. Wizara ya Maji
  4. Man from cuba

    KERO Idara ya maji Kahama(KUWASA) hiki mnachotufanyia wakazi Nyasubi sio haki

    Naandika kwa masikitiko makubwa sana Leo ikiwa ni siku ya tatu maji hayatoki . Hakuna taarifa yoyote ya katazo la maji kwa wananchi wa kata ya Nyasubi Kahama. Tumejaribu kutoa taarifa tunajibiwa kiurahisi tu eti , Kuna matengenezo siku tatu kweli? Na bado mwisho wa mwezi bili unakuja kubwa...
  5. Nyendo

    KERO Maji Malamba Mawili ni mgao mkali, baadhi ya Wakazi walio kwenye miinuko wana miezi hawapati maji kutokana na kasi ndogo ya maji. DAWASA wafafanua

    Malamba Mawili maji ni ya mgao yanaweza maliza wiki 2 bila kutoka na yakitoka yanatoka usiku wa manane yakitoka kidogo kidodo, yanachirizika hayana kasi hata kidogo kiasi ambacho baadhi ya watu ambao nyumba zao zimepo kwenye miinuko kidogo maji hayafiki kabisa. Kuna baadhi ya watu wana miezi...
  6. Jaquelines

    Mamlaka ya Maji Machame, nimelipa kuunganishiwa maji wananizungusha hadi leo

    Nimelipa gharama za kufungiwa maji na vifaa nimenunua tangu tarehe 2 January 2024 lakini wanazungushana kutoa mita. Mhasibu anasema mpaka fundi aje na fundi anasema mpaka aitwe kwenye kazi. Kama vile hakuna ushirikiano wa kazi lakini wao ofisi moja.
  7. D

    Taharuki: Ang'oa mita ya maji nyumbani kwake na kuipeleka idara ya maji (Suwasa-Singida) kwa madai maji hayatoki wiki ya pili

    Mwanaume mmoja huko SINGIDA MJINI achafukwa kwa ukosefu wa maji mitaa ya MISUNA na kuamua kuingo'a mita ya maji na kuirudisha kwa wahusika..Angalizo; Enzi za jiwe haya hatukuyaona..ova
  8. ambiliki

    Idara ya maji Arusha, hawapo makini katika utendaji wao wa kazi

    Idara ya maji Arusha, hawapo makini katika utendaji wao wa kazi na pia hawajali wateja wao, wanacho juwa ni kusoma meta za maji na kutuma bili, hiii siyo sawa. 1: Maji ya arusha Kwa sasa ya Latha ya chumvi niliwapigia simu na kusema watafanyia kazi Hadi Leo ni kimya 2: Bomba limepasuka hii ni...
Back
Top Bottom