In Christendom ,many Christians have been believing that Jesus whom they call Christ was a historical figure and was the Son of Man.my discussion aims at exploring into the hidden identity of Jesus and the Son of Man that christians and non-christians should come to light and get acquaintance of...
Mropokaji wetu 'Hali tena Kamwe' chonde chonde Mdogo wangu kwa hizo Fito zako ( Miguu yako myembamba kama Mifyagio ya Chelewa ) uliyonayo Usithubutu Kuvaa Bukta na Kuikunja ili utuonyeshe hizo Fito zako kwani Mashabiki wote Watakimbia Chama la Wazi' Stadium Mbagala na kuwaachieni Timu yenu...
Mpango wa kuanza kutumia jamii namba (unique number) kwa ajili ya utoaji wa huduma nchini katika ujenzi wa mfumo wa utambulisho wa kidigitali kufikia uchumi wa kidijitali
Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (WHMTH) kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa...
samtz1 analeta ukakasi wa kufanya tuonekane ID moja aache kuiga iga. Anatumia picha zangu kutafuta ma kuniibiia mademu zangu.
Moderator Active mnaruhusuje watu kuiga picha zangu. Why? why? why?
My name is Gily. The only super villain and master of Minions..
Hii article nimeitoa BBC its a good read; inaonyesha nyufa za kitamaduni na pamoja watu kuingiza Siasa katika Nyanja tofauti..., its rings true na uzi nilioanzisha wa Let's not Kill the Beautiful Game
Na jibu langu kwa mwandishi ni why not Represent Both ?
*********************************
It...
Author: Godfrey Mwakikagile
Paperback: 426
Publisher: New Africa Press (21 May 2012)
ISBN-10: 9987160298
ISBN-13: 9789987160297
Book Description:
The conflicts between the two groups have sometimes been characterised as ethnic, although neither group has fundamental attributes of ethnicity...
Tuna vyombo vya dola na chama dola, wenzenu kuanzia jana wanatoa makovu yaliyotokana na uchaguzi wa mwaka jana. Zipo tuhuma za kupigwa Risasi kukatwakatwa na kulazimishwa kwa watu kurejea CCM na walipokataa walimwagwa damu.
Wakati Taarifa hizi zikisambaa kwa kasi zikiwa na majina na maelezo...
Its 10 years from now, we; the 90’s kid are the parents. They made believe that to be classified as properly educated we had to learn in English, some of us did ,most of us remained in our public schools but as we grew up we too believed private schools where English was enforced were better not...
Miaka ya sabini ilitoka series moja nchini Uingereza iitwayo The Fall and Rise of Reginald Perrin.
Reginald (au Reggy) alikuwa na umri wa miaka 46. Alikuwa na mke na watoto wawili ambao walishaondoka nyumbani. Reggy alikuwa meneja kwenye kampuni anayofanyia kazi.
Kadri siku zilivyoenda Reggy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.