ideology

An ideology (/ˌʌɪdɪˈɒlədʒi/) is a set of beliefs or philosophies attributed to a person or group of persons, especially as held for reasons that are not purely epistemic, in which "practical elements are as prominent as theoretical ones." Formerly applied primarily to economic, political, or religious theories and policies, in a tradition going back to Karl Marx and Friedrich Engels, more recent use treats the term as mainly condemnatory.The term was coined by Antoine Destutt de Tracy, a French Enlightenment aristocrat and philosopher, who conceived it in 1796 as the "science of ideas" to develop a rational system of ideas to oppose the irrational impulses of the mob. In political science, the term is used in a descriptive sense to refer to political belief systems.

View More On Wikipedia.org
  1. Waislam wana nia ila hawana mipango. Kinachoendelea Syria ni ushahidi tosha

    Ni rahisi muislam kushawishika na kua na nia, kuatayari kujitolea au kupigania dini bila ya kua na mpango unaoeleweka. kwa sababu hiyo, watu wenye mipango wanawatumia sana waislam kwa kigezo cha itikadi kutimiza mipango yao. Ukiweza kushika kisha cha kiongozi wa kiislam akawaaminisha waislam...
  2. Wamebakia kujifariji kila mtu atakufa sijui ni Ideology.

    Yeeeerrrrreeeeh! He is dead. Kafa ama hajafa? Hamas sympathisers sasa hivi wanajifariji wakiwa na maumivu makali ooh kila mtu atakufa sijui Hamas ni ideology. Kwani nani hajui kila mtu atakufa nyie? Kafa ama hajafa? Asante Israel kwa kuwalipizia vijana wetu wapendwa kisasi. R.I.P and the...
  3. Tulipokuwa makinda wala tusingekubaliana na wazo la kumnunulia gari awala lakini kumbe safari ya mafanikio ailandani na ideology ya njaa.

    Mafanikio ya pesa ni addictive, utahitaji zaidi na zaidi, leo upo middle class lakini unahisi unastahili kuwa upper middle class. Mafanikio ya pesa ni "very demanding", utahitaji vya gharama zaidi na zaidi, leo utanunua harrier lakini unahisi kwa uwezo ulionao unapaswa ununue fortuner. Kama...
  4. The Satanic and Talmudic nature of Benjamin Netanyahu’s ideology in Israel is effectively under the control of Satanic forces

    The Satanic and Talmudic nature of Benjamin Netanyahu’s ideology in Israel is purely under Satanic forces, and Benjamin Netanyahu seems to have imbibed a Satanic ideology through the teachings of the Talmud.If you haven’t noticed, over 20,000 civilians, mostly children, have lost their lives in...
  5. Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Kwa heshima kubwa. Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno. Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa . Kushindwa...
  6. J

    CCM haina itikadi (Political Party Ideology)

    Moja ya sababu kubwa iliyooelekea Chama cha Mapinduzi (CCM) kutawala (sio kuongoza) kwa kutumia vyombo vya dola ikiwemo Polisi na TISS kushindana na vyama vya upinzani hususan CHADEMA ni kwa sababu CCM hawana ITIKADI. Ndio maana leo wanajibu hoja za Chadema kwa jeshi la polisi kuvamia shughuli...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…