idf

In information retrieval, tf–idf (also TF*IDF, TFIDF, TF–IDF, or Tf–idf), short for term frequency–inverse document frequency, is a measure of importance of a word to a document in a collection or corpus, adjusted for the fact that some words appear more frequently in general. It was often used as a weighting factor in searches of information retrieval, text mining, and user modeling. A survey conducted in 2015 showed that 83% of text-based recommender systems in digital libraries used tf–idf.Variations of the tf–idf weighting scheme were often used by search engines as a central tool in scoring and ranking a document's relevance given a user query.
One of the simplest ranking functions is computed by summing the tf–idf for each query term; many more sophisticated ranking functions are variants of this simple model.

View More On Wikipedia.org
  1. U

    Nabil Qaouk kiongozi mkuu idara ya usalama Hezbollah auawa akiwa kwenye handaki usiku huu kwa shambulizi la ndege za IDF Beirut

    wadau hamjamboni nyote? Kazi kusafisha magaidi inaendelea Mungu ibariki Israel Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: IDF says senior Hezbollah official Nabil Qaouk killed in Beirut airstrike last night By Emanuel Fabian Follow Today, 11:43 am The IDF announces that senior Hezbollah...
  2. Picha makamanda wakuu wa Hezbolah waliuwawa ya tangu kuanza kwa mashambulio ya IDF

    Karibu makamanda wote waliohudumu wameuwawa na kuchaguliwa wengine na pia watawawa tu USSR
  3. U

    Ibrahim Qubaisi kamanda Mkuu idara ya urushaji maroketi na makombora wa Hezbollah auawa jioni hii na ndege za IDF

    News alert Ibrahim Qubaisi kamanda Mkuu idara ya urushaji maroketi na makombora wa Hezbollah auawa jioni hii na ndege za IDF Mamlaka za Lebanon zinasema watu 6 wameuawa na 15 kujeruhiwa katika shambulio, huku watu wapatao 560 wakiwa wameuawa tangu mgogoro ulipozidi; Mwana jeshi wa akiba wa...
  4. Taarifa ya Israeli Defense Force (IDF) kwa Umma.

    Hawa watu sio wa mchezo asee...
  5. IDF yathibitisha kuwaua watekwa wake 3 wa Israeli

    Wanaukumbi. Jeshi la Israel limethibitisha kwa mara ya kwanza habari zilizoripotiwa na Channel 12: mateka Ron Sherman, Nick Beizer, na Elia Toledano waliuawa kutokana na mashambulizi ya 'IDF'.-Kiebrania Ch.12 NETENYAHU kachanganyikiwa atawamaliza Mateka wake ambao alijitapa anaenda Rafah...
  6. U

    Mwana wa kamanda wa magaidi auawa shambulizi la ndege za IDF, babake Mohammed Zubeidi alitoroka gereza lenye ulinzi mkali la gilboa 2011

    Wadau hamjamboni nyote? IDF wanaendelea kuyashughulikia magaidi kwa mwendokasi Mtoto wa gaidi maarufu Zakaria Zubeidi ni miongoni mwa Wapalestina watano walioripotiwa kuuawa katika shambulio la ndege zisizo na rubani za Israel jana usiku katika Ukingo wa Magharibi, kwa mujibu wa vyombo vya...
  7. U

    Makomandoo wa IDF waokoa Mateka mmoja akiwa amefichwa kwenye handaki na magaidi ya Hamas

    Wadau hamjamboni nyote? Makomandoo wa IDF wamefanya shambulizi la kushtukiza na kufanikiwa kumuokoa Mateka mmoja ndani ya handaki Leo asubuhi Kazi hiyo maalumu ilifanywa na kikosi maalumu cha makomandoo wenye weledi mkubwa almaarufu Navy’s elite Shayetet 13 unit. Hostage Qaid Farhan al-Qadi...
  8. U

    IDF yaandika historia tena, ndege zake 100 zasambaratisha kambi za Hezbollah, walikuwa wanajiandaa kuishambulia Israel

    Wadau hamjamboni nyote? Israel yafanya kufuru Leo asubuhi Iko hivi Hezbollah walishajiandaa kuisambaratisha Israel hasa maeneo ya kati na kaskazini Hata hivyo idarayaza ujasusi za Israel zilipata taarifa kamili ya mipango hiyo ya magaidi Sasa walichofanya IDF ni kuwawahi Kwa kuishambulia...
  9. U

    Kwa mara nyingine leo ijumaa kiongozi mwingine wa Hezbollah Saeed Mahmoud Diab auawa kwa drone ya IDF, akiendesha gari

    Wadau hamjamboni nyote? IDF wameamua na wamedhamiria kuhakikisha kuwa Viongozi white wa magaidi wanatangulia mbele za haki Nia wanayo, sababu wanayo na uwezo wanao! Leo kwa mara nyingine tena wamefanikiwa kuliua kubwa lingine la magaidi likiwa ndani ya gari lake huko Lebanon ya Kusini IDF...
  10. U

    IDF yafanya shambulio la ndege zisizo na rubani Lebanon, Muhammad Najam Kamanda mwandamizi Hezbollah’s auawa

    Wadau hamjamboni nyote? Kazi nzito kuwasaka na kuwapeleka jehanam magaidi wa Hezbollah inaendelea kwa kasi kubwa Muda mfupi uliopita gaidi mwingine ameliwa kichwa na drone ya IDF akiwa kusini mwa Lebanon Jina la gaidi huyo MUHAMMAD NAJAM Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: Soma Pia...
  11. Video: Marekani na IDF ilifanya operesheni iliyofeli Yemen na Wanajeshi 70 waliuawa

    Wanaukumbi, Angalia hizo video Marekani na IDF ilifanya operesheni iliyofeli katika huko Yemen na Wanajeshi wao 70 waliuawa hapo hapo. Msikilize Kanali wa Marekani Douglas Macgregor. Akieleza kilichotokea huko Yemen. Video ingine ni Maiti za Wanajeshi wa Marekani na Israel zikiwa...
  12. U

    Ndege za kivita za IDF zatanda anga la mji Mkuu wa Lebanon Beirut, taharuki kubwa yatanda

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa za muda huu ndege za kijeshi za Israel limetanda na kuzunguka kwa Kasi ya kimbunga juu ya anga la Beirut ambayo ni mjii Mkuu wa Lebanon. Ndege hizo zimezusha taharuki kubwa kwa wakazi wa maeneo hayo huku wakihofia maisha yao na pia kwa sababu ya kelele kubwa za...
  13. U

    Kiongozi Hezbollah kanda ya Kusini Lebanon wa kundi la Southern Front auawa na shambulio la ndege zisizo na rubani za IDF

    Wadau hamjamboni nyote? Kazi inaendelea kuyaua magaidi yasiyo na Huruma Kiongozi huyo mwandamizi anaeyenda kwa jina la Ali Abd Ali ameuawa kwenye shambulizi katika mji wa Bazourieh karibu na pwani ya jiji la Tyre Ali Abd Ali. Aliongoza brigedi ya Kusini na akihusika kupanga na kuteketeza...
  14. U

    Kiongozi mwingine Hezbollah auawa kwa drone, aliongoza kurusha maroketi Israel, yote yametunguliwa angani na kudondokea Lebanon

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa za muda mfupi uliopita Gaidi mwingine wa Hezbollah ameuawa kwa drone ya IDF baada ya kuongoza kurusha maroketi ya kadhaa kuelekea kaskazini mwa Israel. Hata hivyo hakuna roketi hata moja lililofanikiwa kutua Israel kwani yalitunguliwa yote yakiwa hewani na...
  15. N

    Fuad Shukr, 2nd commander wa Hezbollah na Mshauri mkuu wa kiongozi wa Hezbollah Hassan Nasrallah auwawa na IDF nchini Lebanon. Hezbollah wathibitisha

    Hezbollah wamethibitisha kuuwawa kwa kamanda wao muhimu ambaye ni moja ya waasisi wake na Mshauri mkuu wa kiongozi wa Hezbollah Hassan Nasrallah , Fuad Shukr katika shambulizi la anga la kushtukiza katika maficho yake mjini Beirut, Lebanon Jumanne tarehe 30, Julai 2024. Shambulizi la anga...
  16. IDF ilisubiri wiki kadhaa kupiga mabomu sehemu iliyosadikika Mohammed Deif alikuwepo

    Endelea kusoma kwa Kiingereza. IDF waited weeks to strike Salameh’s compound in hope Deif would visit — report Military believed Hamas military chief would likely join his close ally at some point due to health problems that prevented him from remaining underground for long, NY Times. ---...
  17. Maytham al-Attar kiongozi wa Hezboollah auawa na IDF

    Kawahishwa kwa mabikira.... The scene of an Israeli drone strike near the town of Shaat, in Lebanon's Baalbek district, July 6, 2024. (Social media; used in accordance with Clause 27a of the Copyright Law) A prominent member of the Hezbollah terror group’s air defense unit was killed in an...
  18. B

    Majenerali wa Jeshi la Isreal wataka vita visitishwe huko Gaza

    Kama kichwa cha habari kinavojieleza habari ambazo zina trend kwa sasa ni kwa Majenerali wa Jeshi la Israel kuitaka serikali ya Netanyahu kusitisha vita huko Gaza ili mateka wakombolewe salama na pia kuepusha vita na Hesbollah ya Lebanon kitu ambacho wao wanaona hakuna msingi huo hata kama...
  19. U

    Dada wa Kiongozi Mkuu wa kikundi cha Hamas Ismail Haniyeh auawa na Jeshi la Israel

    Wadau hamjamboni nyote? Dada wa Kiongozi Mkuu wa magaidi ya Hamas ameuawa na shambulizi hatari lililofanywa na Jeshi la Israel kuamkia usiku huu Taarifa kamili hapo chini Mungu ibariki Israel ===== Hamas confirms Haniyeh’s sister killed in overnight strike in Gaza In a statement, the...
  20. Rasmi wanajeshi wa Israel waingia Rafah mjini kati

    Asiye na mwana aelekee jiwe, ni mwendo wa kikomando na kufyatua fyatua, mnaojificha nyuma ya watoto pole zenu, hawa ni Wayahudi (sio Wakristo mliozoea) wanapiga tu. Shukrani sana IDF, malizeni hii shughuli tuwaze mengine, wawahisheni kwa mabikira... ================== Several Israeli tanks have...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…