Usiku wa kuamkia jumapili tar 7 april watu wasiojulikana wamechoma moto ofisi ya taaluma hapo shuleni na kuteketeza kabisa kila kitu. Hakuna kilicho okolewa.
Hasara ni kubwa sana zaidi ya mamilioni. Vyeti ya wahitimu form four na form six, vitabu na nyaraka muhimu navyo vyote vimeteketea.
PIA...