Hali ya usalama wa raia mkoa wa Geita ni mbaya.
Kuna ajali za kutisha, mauaji ya Raia, albino, wizi, wahamiaji haramu.
Pia vyombo vya habari mkoani Geita vimeshindwa hata kuriporti matukio, kwani matukio ni mengi mno.
RPC mkoani Geita, kazi imemshinda na ninashauri iundwe Kanda Maalum.
Hali...