imani kajula

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Simba wamtangaza CEO mpya, mrithi wa Imani Kajula

    Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba imemteua Raia wa Rwanda, Uwayezu Francois Regis kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Klabu hiyo kuanzia Agosti 1, 2024 baada ya Mkurugenzi aliyekuwepo, Imani Kajula kujiuzulu miezi michache iliyopita UwayezuFrancoisRegis amewahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa...
  2. Simba wakubali ombi la Imani Kajula kuachia ngazi ndani ya Simba SC

    CEO atimiza ndoto iliyokuwa ikimnyima usingizi. Baada ya kufanikiwa kupiga naye picha, sasa CEO yuko huru kuachia ngazi. Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC imekubali maombi ya Ofisa Mtendaji Mkuu wao Imani Kajula ya kuachia ngazi ndani ya Simba SC kuanzia Agosti 31- 2024 huku klabu hiyo ikianza...
  3. Imani Kajula aomba kuachia ngazi ya Mtendaji Mkuu (CEO) Simba. Je, ni dalili ya kurejea kwa Barbara Gonzalez?

    TAARIFA KWA UMMA Imani Kajula aomba kuondoka klabuni hapo Klabu ya Simba inapenda kuujulisha umma kuwa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba imeridhia maombi ya Afisa Mtendaji Mkuu Imani Kajula kuomba kuondoka ifikapo mwisho mwa mwezi Agosti 2024 mkataba wake utakapoisha. Kufuatia maamuzi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…