imani mbalimbali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Lord have mercy upon me ila huu ndio ukweli wangu, nikiona watu wazima wanaenda Msikitini au Kanisani huwaga ninawadharau sana

    Kwa sababu nakuwa naona kama hawajielewi vile. Naona kwenda kanisani au msikitini ni Mambo ya kitoto kitoto. Ndio maana siku hizi nimeamua kuwa introvert kwa sababu huwa nakuwa so much annoyed kukaa karibu na watu. Unakuta jitu zima in his 50s linaongea kuhusu eti adhabu ya Kaburi na moto wa...
  2. Imani na Mifano tata

    Naam, kama ilivyo katika maisha ya kawaida, kila kitu huwa na pande mbili zinazokinzana, kama vile mrefu na mfupi, mweupe na mweusi, na kadhalika. Vivyo hivyo, imani ina pande mbili: kuamini au kutokuamini, ukweli au uongo. Mfano, unaweza kuamini timu yako itashinda mechi kesho kwa vile ina...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…