Kuna malalamiko ambao mfanyakazi kutokuwa na hatia lakini wameamua kumnyonga ambaye ambaye hata familia yenyewe imelalamika kuwa sio yeye.
Imani ya wa isalamu ndio inatajawa kuwa imani yenye sheria mkononi sana yenye mafundisho binafsi ambayo yenye chuki kuanzia ngazi zote bila kuweka...
Wakuu,
Katika mji wa kale wa Hierapolis nchini Syria, picha ya ajabu ya uso wa Yesu Kristo imefunuliwa, inayojulikana kama "Keramion."
Kipande hiki cha kipekee cha sanaa kinatokea katika enzi za mwanzo za Ukristo na inakadiriwa kuwa na umri wa zaidi ya miaka 1,500.
Hadithi zinaeleza kuwa...
Kuna dhana imejengeka kwa watu wengi na sasa inaelekea kuwa ndo ilivyo
Utakutana na mtu akishakuuliza jina tu basi na jibu la imani yako anakua nalo!
Sasa kuna hawa wengine wanao amini kama humuabudu allah wala God/jesus wewe basi huna mungu.
Kiasili mwanadamu awaye yote yule ni lazima...
Kwa jinsi mashabiki wa mpira hapa bongo walivyojitolea maisha, akili, hisia, muda na rasilimali zao katika mpira kwa hakika tunaweza kusema mpira ni zaidi ya dini.
Watu wanalala na kuamka wakizungumza mpira, wanashinda wakizungumza mpira.
Jana mchana kwenye East Africa radio kuna kundi la wana...
Yani kwa sasa mtu akisema anaenda kwenye nyumba ya ibada namuona kama “old school” mtu anaeishi maisha ya kusadikika,
Bado naamini kuna Mungu ila Mungu huyo hahitaji ibada wala hana habari na sisi, hakuna moto wala pepo.
Dini zote naona ni kama vikundi vinavyojinasibisha tu lakini hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.