imani ya uchawi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Rafiki yangu kashikwa uchawi nikimuliza ananijibu ni Imani ya kazi

    IPO hivi ,Nina mshikaji wangu flan mwanangu sana , yeye amebahatika kufanya biashara tu yaani Toka ukinga akiwa mdogo sana yeye ni biashara tu . Sasa kilichotokea wanavyodai alizama kishirikina kwenye duka la wajomba zangu ( wakinga) then akakamatwa kishirikina kikaitishwa kikao Cha wachache...
  2. Haya matukio yalinifanya niamini uchawi upo

    Huwa nashangaa sana mtu kusema Hamna uchawi ila kusema kweli uchawi upo tena bila chenga. Haya ni baadhi ya matukio ambayo yaliweza kuniaminisha kuwa uchawi upo. TUKIO LA 1# Miaka ya 2000s wakati huo nipo mkoa wa Iringa, kulikuwa na Mzee mmoja yeye shughuli yake ilikuwa ni kuchukua...
  3. Mnaoamini kuwa uchawi upo mnatumia vigezo gani?

    Katika miaka niliyo nayo mpaka sasa sijawahi kukubali kuwa eti kuna uchawi sijui mtu anaweza kuloga sijiui mambo yako yasiende. Kama kweli uchawi upo kwanini hao wachawi wasiende benki wakaloga wakachukua pesa. Kama kuna mtu humu ndani alishawahi kulogwa njoo utupe mrejesho ilikuwaje. Pia...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…