imani za dini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Magical power

    Walokole wanapenda sana kuwapima watu hekima zao kwa ujinga

    WALOKOLE WAPUMBAVU WANAPENDA SANA KUWAPIMA WATU HEKIMA ZAO KWA UJINGA Kuna walokole WAGALATIA fulani na wengine WAJINGA fulani hivi wakati ukiview hata profile zao unawatazama unaona ukiwajibu kwa jeuri za kisukuma na kiimani kama aliyokuwa nayo MUSA mbele ya Farao unaweza kuwavua nguo. Huo...
  2. U

    Haiwezekani Wasabato kuhubiri neno la Mungu bila kutaja Kanisa Katoliki? Au ni mafunuo? au mbinu za kupata na kutunza wafuasi?

    Wadau hamjamboni nyote? Naomba sana moderator uache huru Uzi huu Tafadhali Kichwa cha habari chahusika? Siyo mahubiri au Vitabu kote huko lazima ukute mifano yote hasi dhidi ya Kanisa Katoliki Napenda kujua haiwezekani ikahubiriwa injili bila kufanya hivyo? Ni chuki? Wivu? Propaganda...
  3. ChoiceVariable

    Ukristo wa Afrika" Kuanzishwa Tanzania ,Lengo kuachana na Ukristo wa Ulaya ulioletwa Afrika Kwa Msingi wa ukoloni na unyonyaji

    Muinjilisti na Msomi wa dini bwana Sylvanus Ngemera amesema anatarajia kuasisi Dini Mpya ya kikristo yenye msingi wa utamaduni na mila za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara itakayoutwa "African Orthodox Derekh Church" Ili kuachana na Ukristo wa Mzungu ambao umejikita kutetea utamaduni wa mzungu...
  4. Aelknes

    Dini imekuja kutugawa au ni sisi ndiyo tumeshindwa kuielewa?

    Nikiwa kwenye harakati za utafutaji nikakutana na fursa nikaona niruke nayo maana nakidhi vigezo vyote,Cha ajabu nikaja kukataliwa kisa sio muumini wa DINI fulani... Nimekua nikishuhudia watu wakitengana,wapenzi wakishindwa kuoana,watu kifanyiana chuki za wazi wazi kisa tu wako na imani tofauti...
  5. M

    Kiboko ya wachawi aingia mtegoni

    Nabii kiboko ya wachawi aingia mtegoni na kuthibitika kua kweli ni tapeli baada ya Mwandishi kutoka Mwananchi Digital kupiga simu kwa kiboko ya wachawi na kujifanya mgonjwa na kiboko ya wachawi aliomba shilingi milioni kumi ili amponye. Licha ya Serikali kulifungia Kanisa la Christian Life...
  6. Mganguzi

    Mchungaji, Imam au Sheikh akifanya makosa unalifuta kanisa au Utaufuta msikiti? Kwanini taasisi ifutwe kwa kosa la mtu mmoja?

    Nimetafakari kwa muda na kupitia baadhi ya kanuni na taratibu za kusajili taasisi za Kidini. Sheria ipo wazi Kanisa linasajiliwa si na mtu mmoja bali ni Watu wasiopungu 12 kwa ngazi za Kiongozi. Ambazo ni Askofu Mkuu Makamu Askofu, Katibu Mkuu, Mhazina n.k. Lakini pia Kanisa linakuwa na Bodi...
Back
Top Bottom