imani za jadi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Bora niamini Mizimu kama babu zetu, kuliko hawa waliowafanya watumwa babu zetu ni wanafiki tu

    Nashangaa kuona watu wanakesha kutwa usiku kucha kupiga kelele eti wanaomba na kusifu, ni upumbavu wa hali ya juu kushobokea watu waliowatesa ndugu zetu. Vilevile, nashangaa watu wanashinda msikitini kutwa nzima kupiga umbea na kusahau kwamba nao waliwachukua utumwani. Pia, nashangaa hao...
  2. Mi mi

    Imani zenu ni za kazi gani sasa kama mnaonewa kila siku

    Maadui wenu mnawafahamu ila mnawakalia kimya kwa nini? Imani zenu za kimila na kidini ni za kazi gani sasa? Mnashindwa kuwa shughulikia kimila mmoja baada ya mwengine maana madaraka ya kuwa umiza wanayo sasa kilichobaki ni nini? Washughulikieni kwa jadi uone kama watafanya ujinga tena juu...
Back
Top Bottom