Huko Mexico Kuna mchungaji mmja wa Kanisa la Kilokole ameingiza Mamilioni ya pesa Kwa mauzo ya viwanja vya Kanisa lake vilivyopo Mbinguni.
Bwana huyo amedai Alipewa Kibali na Mungu kufanya mauzo hayo mwaka 2017 hivyo Waumini wachangamkie mapema kabla havijaisha.
Taarifa hii ililipotiwa 28...
Maadui wenu mnawafahamu ila mnawakalia kimya kwa nini?
Imani zenu za kimila na kidini ni za kazi gani sasa?
Mnashindwa kuwa shughulikia kimila mmoja baada ya mwengine maana madaraka ya kuwa umiza wanayo sasa kilichobaki ni nini? Washughulikieni kwa jadi uone kama watafanya ujinga tena juu...
Moja ya mambo yanayovuruga sana wanadamu ni mambo ya imani ambayo msingi wake ni kuamini bila kuhoji na kuhoji ni sawa na kukufuru(unamezeshwa).
Maajabu zaidi ni kuwa tuna vitabu viwili ambavyo ni Bibilia na Quran, lakini kwasababu watu wamekuja na tafsiri zao za haya maandiko, leo tuna...
Washirika wa kundi la kidini Nchini Australia wamefikishwa Mahakamani wakituhumiwa kumuua Binti aitwaye Elizabeth Struhs mwenye umri wa miaka nane mwenye kisukari kwa kumnyima matibabu na badala yake kusali wakiamini kuwa Mungu atamponya.
Elizabeth alikutwa akiwa amefariki katika nyumba moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.