imenizidia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mdudu wa kidole, natamani kukata kidole

    Salaam wanajamvi, natumaini mko salama na kwa wale mliokatika mfungo, Mungu akawaongezee palipo pungua. Wakuu mwenzenu yamenifika, kidole changu cha kati mkono wa kulia kimevimba hatari. Kinauma mno yaani hakukaliki, hakulaliki. Najihisi mnyonge, nimekosa tumaini. Nimeweka mafuta ya taa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…