impeachment

  1. Webabu

    Mjumbe wa Congress ataka Trump afanyiwe impeachment kwa matamshi yake kuhusu Gaza

    Tamko alilolitoa Donald Trump akiwa na Benjamin Netanyahu akisema ataichukua Gaza na kuijenga upya kwa kuwaondosha wapalestina imepelekea mshtuko mkubwa kwa viongozi wa mataifa mengi pamoja na wanasiasa wa Marekani. Wanasiasa waliokuwepo ukumbini wakati Trump akisema hayo kama hitimisho la...
  2. mchemsho

    Kenyan VP Impeachment in Senate. Kenya is a million miles away in Democrat Practice. Tanzania inahitaji miaka 1000 kufikia kiwango hichi

    Transparency amongst senators showing clearly their position. Hakuna UNAFIKI wala kuonyesha eti kulamba uchafu wa aliyeko madarakani. Nimeipenda kwa kweli. Nasubiri kwa hamu upigaji kura. Nadhani ni HAKIKA TANZANIA INAHITAJI katiba MPYA ili kuondoa UCHAWA na kuweka COMPITENCE , INTEGRITY and...
  3. C

    Impeachment iliyofanyika Kenya jana ilitakiwa iwe imeshafanyika nchi fulani

    Kuna siku unaota mpaka unashangaa mbona unaota vitu vikubwa namna hii, 1. Ghafla mihimili imeanza kufanya kazi kama katiba inavyotaka ikiwa pamoja na kuwajibishana na sio kukutana mara kwa mara bila sababu za msingi za kikatiba 2. Nikaota tena kuwa Wetangula ndio spika wa bunge la nchi hiyo...
  4. NetMaster

    Chama alichomo Trump kinaenda kuchukua House au senate ama vyote, Trump anaweza kupewa uspika wa Pelosi, Biden anaenda kuonja joto la impeachment

    Usiende google kucheki matokeo 😂😂 wala cnn , huko hakuna taarifa credible maana ni left wing main strem media, ni haohao walioaminisha umma mpaka dakika ya mwisho 2016 kwamba Trump kashindwa,,, Ukweli ni kwamba kwa sasa hali inavyoelekea Republicans wanaenda kuchukua moja ya mihimili ama miwili...
  5. FRANC THE GREAT

    Sekeseke la 'impeachment' limeibuka tena! 25th amendment kutumika?

    Habari! Shinikizo jipya sambamba na mashitaka ya kumuondoa madarakani Rais wa Marekani Donald Trump vimeibuka upya na kushika kasi baada ya vurugu zilizozuka hivi karibuni bungeni, Washington DC, ambazo Trump analaumiwa na kushutumiwa kwazo. Huku hayo yakiendelea, kumekuwa pia na mjadala...
  6. N

    Trump is not impeached yet because Nancy Pelosi is holding the articles of impeachment

    USA its about institution kama Congress haipeleki article to senators it means Trump is not impeached .
  7. FRANCIS DA DON

    Je, nini maana ya 'Impeachment'?

    Je, mtu anapokuwa 'impeached', huwa ina maana gani? Na nini humtokea mtu huyo, lets say Rais kwa mfano.
  8. N

    2 democratic representatives to switch party to become republicans because of impeachment

    Rep Drew switched parties and rep Tulsi is talking to trump about it .What is going on in USA politics ?
  9. N

    Mitch McConnell Senator leader considers dismissing impeachment case

    Nancy Pelosi kisheria anatakiwa kumpa makaratasi ya impeachment kwa senator leader .Nancy Pelosi anakaa sasa Nancy akifanya mchezo case will be dismissed .
  10. USSR

    President Trump has been Impeached after the House of Representatives voted in favour of charging him with abuse of power and obstruction of Congress

    Naona medie karibu zote duniani zipo live kwa watanzania wenzangu unaweza kujifunza kitu kwa local channel ITV wamejiunga na CNN wapo live. Mnyukano ni kati ya Democratic wanao pigakura kumwondoa na Democratic wanapinga kumbakiza imekaa kimrengo zaidi ya kiuhalisia ni kama vile bongo tu...
Back
Top Bottom