Akijibu swali la kizushi kutoka kwa Oscar Oscar Wasafi TV, kwamba👇👇
"Inasemekana ulipokuwa mtoto ulikuwa unaonekana kama una mapenzi na Simba.
Hata mlipokuwa mkicheza chandimu Simba na Yanga wewe ulikuwaga unachagua upande wa Simba, ila sasa hivi umekua Rais wa Yanga. Hebu tuambie hii...