insomnia

  1. OMOYOGWANE

    Zijue Tiba asili kwa watu wenye tatizo la kukosa usingizi (insomnia)

    Hellow wakuu, Leo niliona uzi humu mdau mmoja akiomba msaada wa dawa asili za kuondoa tatizo la kukosa usingizi Anayejua dawa za asili kutibu tatizo la kukosa usingizi (insomnia) anisaidie nateseka Nimeona nianzishe uzi huu ili kila mtu aone na aelimike ikibidi asaidike, Kukosa usingizi sio...
  2. M

    Anayejua dawa za asili kutibu tatizo la kukosa usingizi (insomnia) anisaidie nateseka

    Habari watanzania wenzangu naombeni njia mbadala za kupona hii changamoto ninayoipitia ya kukosa usingizi
  3. Lager

    Msaada nini tiba ya insomnia..?

    msaada tafadhari usingizi nimekuwa nikipata kwa masaa machache mno tofauti na awali.
  4. ndege JOHN

    Ukihitaji usingizi mzuri, fanya yafuatayo...

    a) Jiwekee msimamo ratiba yako ya kulala kama hakuna dharura nyingine iwe saa fulani Mpaka saa fulani. Hili ndo jambo kubwa la kwanza. b) Mchana usichoke choke kizembe fanya fanya mazoezi mapema tu kabla haijaingia usiku sana. c) Punguza au jiepushe na pombe, caffeine, energy drink, sigara...
  5. F

    Jinsi ya kulala usingizi mtamu kila siku

    Usingizi mrefu na usio katikakatika ni muhimu sana kwa afya ya mwili, akili na roho. Mtu mzima anapaswa kulala si chini ya saa 8 kwa siku. Zingatia yafuatayo ulale usingizi mrefu na mtamu. 1. Oga kabla ya kulala 2. Kula chakula chepesi na kidogo walau saa moja kabla ya kulala. 3. Usinywe maji...
Back
Top Bottom