intaneti vijijini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mko wangapi kwenu mnaotumia mitandao ya kijamii?

    Sio kwamba najisifia la! hasha! Kuna wakati huwa natamani hata kaka yangu au dada yangu au ndugu wengine wa karibu waone au wasome nilichokiweka mtandaoni lakini inakuwa ngumu. Katika familia yangu baba ana wanawake wa nne hivo watoto jumla tulio hai tupo 27, mimi ni wa 5 upande wa mama yangu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…