Aliyekuwa mfanyakazi wa CIA Bwana Andrew Bustamente alielezea kwenye Podcast kwamba Taasisi kali kuliko zote za kiintelijensia na kijasusi kwa pande tofauti ni kama zifatavyo;
MMS( Ministry of State Security) China🇨🇳; Alisema kwa ushindi wa Ufikiaji au Reach ya watu duniani taasisi hii ya China...