Jamani niende direct kwenye mada juzi juzi hapa Tareh 31 March zilitoka nafasi za internship crdb bank ila mpk kufika Tareh 3 wakafunga jaman mimi nilijitahid kufanya application Lakin shida imekuja nmeandikiwa automatic disqualified kwa walioapply wengne jaman mkiangalia status ya application...
Habarini wakuu, ninasoma DIT, Bachelor's degree in mechanical engineering, mwaka wa tatu. Sasa hivi tupo likizo, tumetumia karibu week 6 zimebaki week 3
Nilijaribu kuomba internship kwenye viwanda vingi pale Mikocheno industrial area, lakini nilikosa sababu ni kutokuwa tayari kwa viwanda kupokea...
Position: Internships
The bank is looking for fresh graduates with strong academic background to join the Bank in an Internship Program. The Interns (2) will be attached in the Internal Audit Department for a period of one year.
REQUIREMENT
Recent university graduate (2023) with upper second...
GGML Internship Programme
Geita Gold Mining Ltd (GGML) has been a strong supporter to the government initiatives to enhance graduates’
employability in Tanzania, having implemented internships and other graduate programmes for several years. GGML is contributing towards skills development in...
Heshima yenu wakuu.
After a long while of unsuccessfully seeking for a job in Dar, nataka nijivike mabomu na niende Zanzibar kutafuta kazi/kibarua.
Kwa anaefahamu, kuna fursa za manual labour maeneo gani ndani ya Zanzibar?
Stay blessed.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.