Habarini wakuu, ninasoma DIT, Bachelor's degree in mechanical engineering, mwaka wa tatu. Sasa hivi tupo likizo, tumetumia karibu week 6 zimebaki week 3
Nilijaribu kuomba internship kwenye viwanda vingi pale Mikocheno industrial area, lakini nilikosa sababu ni kutokuwa tayari kwa viwanda kupokea...