Habari za jioni mjamvi?
Habari za leo waungwana?
Siku ya tarehe 20 julai 2024, Tamisemi kupitia Utumishi walitangaza ajira za ualimu kwa ngazi za astashahada, stashahada, shahada na "postgraduate" zaidi ya 11,000. Sasa zoezi la kutuma maombi likiwa linaendelea, napenda kujua ni maswali gani...