Kampuni hii inaonekana kusajiliwa nchini Rwanda, Mara tu baada ya utawala wa awamu ya 5 kuingia madarakani mwaka 2016.
Inatuhumiwa kukwapua pesa za umma zaidi ya bilion 400.
Je, kuna mambo tunafichwa juu ya kampuni hii ya usafirishaji wa mizigo?
Je, kwanini imesajiliwa Rwanda na imekwapua...