Naomba kuuliza jamii check maana Kuna hoja kwamba hii kampuni ya iphone imbayo inasifika kwa kamera nzuri hizo kamera Huwa wananunua kwa kampuni ya Samsung
Hivo naomba uthibitisho wa Hilo Ili tujue kama tunapigwa au laah?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.