iptl scandal

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. figganigga

    James Rugemalira aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na mashtaka

    Salaam Wakuu, Leo nimepita maeneo ya Mahakama ya Kisutu, Nikakuta Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira anatabasamu akiwa na ndugu zake wakipeana hugs na kuchumiana. Inaashilia kuna dalili nzuri leo Mzee wa Henken akaliona jua. Langu Dua. James...
  2. T

    How PAP acquired IPTL for almost nothing and looted US$124m from the BoT

    My take Kama kuna jambo mwenda zake aliinusuru nchi hii ni kuitoa kwenye makucha ya mataperi wa nishati, tulikuwa tumetizamishwa kibra na wala hatukuwa na nguvu za kujinasua kupitia mahakama za kimataifa, maana tayari tulikuwa tumejinyonga kwa kamba yetu wenyewe kupitia mikataba ya kimangungo...
  3. gemmanuel265

    Wako wapi viongozi waandamizi wa serikali waliohusika na kashfa ya Tegeta Escrow Account?

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, hawa viongozi wa serikali walioruhusu mabilioni ya Tegeta Escrow Account kutolewa Bank Kuu (BOT) kwanini hawajaunganishwa kwenye kesi ya jinai ya uhujumu uchumi inayowakabili James Rugemalila na mwenzie Harbinder Singh Seth, ikiwa wao kama viongozi...
  4. Aventus

    Pesa za ESCROW zilikuwa za umma ama watu binafsi???

    “Tusijipe usahaulifu wa lazima tena kwa haraka.., zile pesa zilikuwa za UMMA au za WATU BINAFSI.., zile pesa za TEGETA - ESCROW Account... NANI ANAWALIPA SCB-HK DENI LAO!?” ==== .., hivi zile pesa zilizofunguliwa TEGETA - ESCROW Account zilikiwa mali ya UMMA au zilikuwa pesa za watu binafsi...
  5. jerrytz

    Tegeta Escrow: TANESCO yashindwa kesi dhidi ya IPTL. Yaamriwa kulipa zaidi ya Sh. Bilioni 320!

    Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeshindwa kwenye kesi yake IPTL -Independent Power Tanzania Limited. Hukumu hiyo imetolewa na mahakama ya inayoshughulika na migogoro ya uwezekaji, ICSID yenye makao yake mjini Washington DC, Marekani na ipo chini ya benki ya dunia.Tanesco ilikuwa...
  6. Lizaboni

    Sakata la ESCROW: IPTL na PAP Watinga Mahakama Kuu kuomba ufafanuzi wa Kisheria wa Maazimio ya Bunge

    Wadau, katika kile kinachoonekana kuwa huenda Bunge likaingia tena kwenye mgogoro na Mahakama juu ya sakata la ESCROW, Leo Mwanasheria wa IPTL na PAP, Joseph Makandege amesema kuwa wamepeleka shauri Mahakama Kuu kuomba ufafanuzi wa Kisheria juu ya Maazimio yaliyotolewa na Bunge juu ya sakata la...
  7. Candid Scope

    Barua ya zuio la Mahakama bungeni -ESCROW lilikuwa fake?

    Chanzo: Mwananchi Mkanganyiko unazidi kujitokeza tokana na barua toka Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam kuzui bunge kujadilia kashfa ya ESCROW Acc. kwani barua inaonyesha iliandikwa saa saa nane mchana kabla ya kuanza kusikiliza shauri hilo saa nane na nusu mchana. Hivyo barua iliandikwa...
  8. JamiiForums

    Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

    Baada ya bunge kwenye kikao cha asubuhi kusema swala la Escrow limeingizwa kwenye ratiba na ripoti itawasilishwa kuanzia jioni ya leo. Tujumuike kwa pamoja kuhabarishana yanayojiri jioni hii bungeni Dodoma kuhusu sakata la Escrow. Anaekalia kiti jioni hii ni spika mwenyewe mama Anna Makinda...
  9. Saint Ivuga

    Mahakama imetoa zuio la kujadili taarifa ya CAG kuhusu Tegeta escrow Bungeni

    Source kutoka kwa Zitto
  10. Ngongo

    Mahakama yakana kuandika Barua kuzuia mjadala wa Tegeta Escrow Account bungeni

    Wakati Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wakichachamaa wakisema hawatakubali Bunge hilo kuingiliwa na mhimili wa Mahakama, Mahakama hiyo imejiweka kando na tuhuma hizo. Sakata hilo lililotawala kikao cha Bunge hilo jana lilitokana na madai yaliyoibuliwa juzi na wabunge wa kupinzani...
  11. Sophist

    Msichokijua kuhusu kashfa ya Tegeta Escrow Account

    PAP ni mbadala wa Dowans Singh Sethi ni mbadala wa Rostam Aziz (wakala) Wizi wa pesa ya Tegeta Escrow account ni mbadala wa wizi wa pesa za EPA account Kama ilivyokuwa mwaka 2005, mkakati wa sasa unalenga kufanikisha pesa za uchaguzi, 2015 Kama ilivyokuwa 2005, wizi wa pesa za Tegeta Escrow...
  12. Informer

    Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma

    Kwa mara nyingine serikali kupitia viongozi na watendaji wake akiwamo Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), wamedai kwamba kiasi cha Dola za Marekani milioni 250 zilizopaswa kuendelea kuwapo katika 'Tegeta Escrow Account' si mali ya serikali na hivyo si mali ya umma. Akaunti hiyo ilifunguliwa na...
  13. Invisible

    UFISADI: The Making Of IPTL

    Nimepitia baadhi ya habari na kuona kuwa hii topic ni nyeti sana na inagusa mengi, kwa nini isijadiliwe: IPTL, ANGLO LEASING YA TANZANIA ISIYOTAMKWA. GAZETI Tando la Pambazuko limebandika ripoti inayotakiwa kusomwa na kila anayeitazama kwa jicho la mapendo ... Who is this guy: Mr. Patrick...
Back
Top Bottom