Katika hali ya Kutisha iliyoikumba Nchi ya Iran... sasa Wameomba Po na kuomba Marekani iwaondolee Vikwazo katika idara ya Afya ili iweze kupambana na Gonjwa Jipya la Mafua linaloua kwa kasi raia wa Iran ambapo hadi kufikia leo mapema ni Raia 413 walishadanja huku raia zaidi ya elfu kumi wakiwa...