Waziri wa Fedha akijibu swali "kwa nini anayetuma na anayepokea fedha wote wanatozwa?" Jibu lake limeacha swali lingine.
Hakika anayepokea anapaswa kutozwa kwa kuwa anapata kipato. Anayetuma tayari atakuwa ametozwa pale alipopata hiyo fedha hivyo hastahili kutozwa tena.
Kwa mfano alioutoa wa...