ismail haniyeh

Ismail Haniyeh (born 29 January 1962) is a Palestinian politician who is widely considered to be the chief political leader of Hamas, which has governed the Gaza Strip since 2007. He is the current chairman of the Hamas Political Bureau. As of 2023, he lives in Qatar.
Haniyeh was born in the al-Shati refugee camp in the Egyptian-occupied Gaza Strip in 1962. He studied at the Islamic University of Gaza, where he first became involved with Hamas, and graduated with a bachelor's degree in Arabic literature in 1987. Appointed to head a Hamas office in 1997, he has since grown in the ranks of the organization.
Haniyeh was head of the Hamas list that won the Palestinian legislative elections of 2006, and so became Prime Minister of the State of Palestine. However, Mahmoud Abbas, the President of the Palestinian National Authority, dismissed Haniyeh from his office on 14 June 2007. Due to the then-ongoing Fatah–Hamas conflict, Haniyeh did not acknowledge Abbas' decree and continued to exercise prime ministerial authority in the Gaza Strip.
Haniyeh was the leader of Hamas in the Gaza Strip from 2006 until February 2017, when he was replaced by Yahya Sinwar. On 6 May 2017, Haniyeh was elected chairman of Hamas's Political Bureau, replacing Khaled Mashaal; at the time, Haniyeh relocated to Qatar from the Gaza Strip.

View More On Wikipedia.org
  1. Echolima1

    Je, alichokifanya Ismail Hanniyeh kufurahia mauaji ya oct 07,2023 ni halali kwa mjibu wa uislamu?

    Baada ya Mauaji ya kutisha ya Oct 07,2023 Gaidi ISMAIL HANNIYEH alionekana kwenye vyombo vya habari akifurahia mauaji hayo na kuonekana akiongoza sala kumshukuru Allah wake kwa kufanikisha mauaji ya kutisha yaliyofanyika siku hiyo Oct 07,2023. Mimi nauliza kwa mjibu wa dini ya kiislamu ni sawa...
  2. R

    Tujikumbushe: Mossad walivyomua Ismail Haniyeh. Kwanini hawakumuulia Qatar ambako ilikuwa rahisi, wakaenda kumuulia almost ndani ya Ikulu ya Iran

    Ilikuwa majira ya saa saba usiku na dakika 37, tarehe 31 July 2024, ndani ya jiji la Tehran nchini Iran. Mlipuko mkubwa ulisikika sehemu ambayo daima dumu usingetarajia. Mlipuko ule ukaondoka na maisha ya Ismail Haniyeh, aliyekuwa kiongozi mkuu wa Hamas. Mgogoro wa Mashariki ya Kati umekuwa...
  3. State Propaganda

    Kumbe Ismail Haniyeh aliuliwa kwa kutegeshewa bomu chini ya kitanda!

    Kilipuzi chenye ukubwa wa inchi 3x6 , sawa na tofali la kuchoma kilichotegwa chini ya kitanda na vijana wa Ansar al-Mahdi security waliokuwa wakilinda nyumba ya wageni mjini Tehran, Iran. Inaaminika ya kuwa walinzi hao walitumwa na mossad kutekeleza mpango huo wa muda mrefu. Mpaka sasa...
  4. U

    HAMAS Yamteua Yahya Sinwar Kuwa Mrithi wa Ismail Haniyeh Aliyeuawa nchini Iran

    Wadau hamjamboni nyote? Kiongozi huyu ataongoza kundi hilo la Hamas kwa muda akisubiri uteuzi wa Kiongozi wa kudumu wa kundi hilo na anaenda pia kwa jina lake maarufu Abu Omar Hassan. Serikali ya Israel inazo taarifa zote za uteuzi ila bado haijatoa maoni yeyote. Je, unampa ushauri gani...
  5. Evody kamgisha

    Baada ya Ismail Haniyeh, Sasa Ayatollah Kamenei yuko kwenye rada za Israel

    Baada ya Israel kumuua Kiongozi wa kisiasa wa HAMAS Ismail Haniyeh, inasemekana bado Israel inamuwinda Kiongozi wa kidini wa Iran Ayatollah Kamenei. Kiongozi huyo wa kishia anadaiwa kutoa kauli nzito za kuiangamiza Israel baada ya Taifa hilo la mashariki ya kati kumuua Kiongozi wa Hamas Ismail...
  6. U

    Mossad iliajiri afisa Usalama wa kikosi maalumu cha Jeshi la Iran RGC kutega bomu chumbani mwa kubwa la maàdui Ismael haniyeh

    Breaking News ni rasmi kuwa Mossad ilimuajiri afisa Usalama wa kikosi maalum Wadau hamjamboni nyote? Taarifa mpya kabisa za muda huu Aliyetega mabomu chumbani kwa kubwa la maàdui Ismael haniyeh wa hatimaye kupelekea kifo alikuwa ni afisa Usalama wa Jeshi la Iran aliyepewa kazi hiyo maalumu...
  7. U

    Ayatollah Khamenei aongoza sala mbele ya jeneza la Ismael Haniyeh aliyeuawa na Israel

    Wadau hamjamboni nyote? Ayatollah Ali Khamenei ameongoza maelfu ya watu kuaga mwili wa Jemedari na Kiongozi jasiri wa kundi la hamas Ismael haniyeh aliyeuawa na magaidi wa Kiyahudi. Ama Kwa hakika ameagwa kishujaa na atazikwa Doha. Taarifa kamili hapo chini. ========== BEIRUT (AP) — Iran’s...
  8. U

    Tetesi: Hamas kukutana kuchagua mrithi wa Kiongozi wao Mkuu aliyeuawa, wanaotajwa Khaled Mashaal na Khalil al-Hayya

    Wadau hamjamboni nyote? Hizo ni habari mpya kabisa kutokea ndani ya kikundi cha kigaidi cha Hamas Kwamba magaidi hao hawajakata tamaa kabisa Kwamba Baraza/ Shura ya Maimamu yenye wawakilishi wa kikundi hicho kutokea sehemu mbalimbali watakutana muda wowote kuanzia sasa kumchagua mrirhi...
  9. M

    Katika mtazamo wa Kiislamu, kufa katika vita vya jihad kunaweza kuwa na faida na hadhi maalum

    Katika mtazamo wa Kiislamu, kufa katika vita vya jihad kunaweza kuwa na faida na hadhi maalum, kulingana na mafundisho ya kidini. Hapa chini ni baadhi ya faida na hadhi zinazohusishwa na kufa katika vita vya jihad: Hadhi ya Shahidi (Martyrdom): Muislamu anayekufa katika vita vya jihad anapewa...
  10. J

    The killing of Ismail Haniyeh the leader of Hamas group in Gaza

    it was very morning in the E.A.T when the world got pulsed after hearing that the head of Hamas being eliminated by assassination attack in the soil Iran. This act has brought attention to the world especially in the middle east, the Israel has manifested to the Islamic nations that it has a...
  11. Huihui2

    Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

    Kiongozi mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh ameuawa nchini Iran, kundi hilo limesema. Katika taarifa iliyotolewa leo siku ya Jumatano, Hamas imesema Haniyeh aliuawa kufuatia uvamizi wa Israel kwenye makazi yake mjini Tehran. Kwa mujibu wa kundi hilo, Haniyeh alifariki baada ya kushiriki sherehe za...
  12. U

    Dada wa Kiongozi Mkuu wa kikundi cha Hamas Ismail Haniyeh auawa na Jeshi la Israel

    Wadau hamjamboni nyote? Dada wa Kiongozi Mkuu wa magaidi ya Hamas ameuawa na shambulizi hatari lililofanywa na Jeshi la Israel kuamkia usiku huu Taarifa kamili hapo chini Mungu ibariki Israel ===== Hamas confirms Haniyeh’s sister killed in overnight strike in Gaza In a statement, the...
Back
Top Bottom