ismail jussa

Ismail Jussa Ladhu (born 18 August 1971) is a Zanzibari ACT Wazalendo politician serving the Stonetown constituency in the Zanzibar House of Representatives. He also served as a member of the Tanzanian Parliament in 2010 after being nominated by President Jakaya Kikwete.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Maelezo ya Makamu Mwenyekiti (Zanzibar) ACT, Ismail Jussa alipozungumza na Wanahabari Makao Makuu ya Chama, Vuga, Zanzibar, Februari 27, 2025

    UTANGULIZI: Nimewaita hapa leo kuzungumzia kashfa kubwa (major scandal) inayozunguka kile kilichopewa jina la uwekezaji wa kimataifa katika Bandari ya Zanzibar ambacho sasa kinawatafuna wananchi masikini wa Zanzibar walioangushiwa zigo kubwa la kubeba gharama za mradi huo wa kashfa. Zigo hilo...
  2. T

    Jussa: Kwa sasa meli nyingi za mizigo zinakataa kuja Zanzibar

    "Kwa sasa meli nyigi za mizigo zinakataa kuja Zanzibar kutokana na usumbufu huo huku kukiwa na mamia ya makontena Zanzibar yaliyorundikana katiba bandari ya Mombasa nchini Kenya kwa ziadi ya mwezi mmoja yakisubiri meli ndogo kuyaleta Zanzibar" - Ismail Jussa, Makamu Mwenyekiti wa ACT- Wazalende...
  3. T

    Ismail Jussa asema bandari ya Malindi licha ya kuwa na muwekezaji lakini meli zinakaa hadi wiki 2 kusubiri kushusha mizigo

    Ismail Jussa, makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Zanzibar aneleza kuwa licha ya kuwepo kwa muwekezaji katika bandari ya Malindi lakini bado kuna changamoto katika kushusha mizizgo ambapo meli zinaweza kusubiri hadi wiki mbili ili kupata nafasi ya kushusha mizigo. Amesema jambo hilo lina athari...
  4. T

    Ismail Jussa: Serikali ya Zanzibar inapata 30% tu ya faida kutoka kwa mwekezaji wa bandari ya Malindi

    Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Zanzibar, Ismail Jussa ameeleza kuwa licha ya kuwa Serikali ya Zanzibar ilitoa kila kitu kwa muwekezaji na muwekezaji hakuja na chochote kile lakini serikali inapata 30% tu ya faida. "Waliopo bandarini wanasema muwekezaji huyu hakuleta hata kalamu na...
  5. T

    Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Zanzibar, Ismail Jussa asema uwekezaji wa bandari ya Malindi Zanzibar una ubadhirifu

    Feb 27, 2025 Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Zanzibar, Ndugu Ismail Jussa atazungumza na waandishi wa habari.Mahala: Ofisi Ndogo za Makao Makuu Vuga ZanzibarMuda: 5:00 Asubuhi https://www.youtube.com/watch?v=hETI2UkrNJ0 Jussa ameeleza kuwa lengo la mkutano huo ni kueleza kuhusu kashfa...
  6. L

    ACT Wazalendo mfikishieni salamu Ismail Jussa kuhusu umuhimu wa kodi

    Nimeona Clip moja huko nyumbani kwetu Kizimkazi Bw.Ismail Jussa, kumbuka huyu ni mwanasheria, akilalamika jukwaani na kuwafanya watu majuha kuwa serikali ieleze sababu za kuwakamua watu kodi. Sasa mimi am a politician but Ismail Jussa naomba usome hapa kuhusu Theoritical concepts behind...
  7. J

    Ninaogopa endapo Othman Masoud na Ismail Jussa wataamua kumjibu Tundu Lissu wa CHADEMA kuhusu Katiba ya JMT ya 1977 na Katiba ya Zanzibar ya 1984!

    Majibu ya Tundu Antipas Lissu kwa Wakuli Msomi Fatma Karume mjukuu wa muasisi wa Muungano yamenitisha lakini naogopa zaidi kama Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Othman Masoud na msaidizi wake Ismail Jussa wataamua kujibu Mapigo Kilichonitisha ni kifungu cha Katiba ya Zanzibar kinachosema "Tanzania...
Back
Top Bottom