This is a list of killings and massacres committed in Mandatory Palestine. It is restricted to incidents in which at least three people were deliberately killed. This list does not include unlawful deaths due to criminal activity. It includes all casualties that resulted from the initial attack on civilians or non-combat military personnel.
Note: The designation "responsible party" below refers to those believed to be the principal instigators of the violence. Where culpability is disputed or ambiguous, the sources cited support the chosen designation.
Individual massacres during the 1936–1939 Arab revolt in Palestine are listed below. In total, during the course of these events, between September 27, 1937 – 1939, 5,000 Arabs, 415 Jews and several hundred Britons were killed.
Habari wakuu wa Jf poleni na majukumu ya kazi na simanzi ya Janga letu la pale Kariakoo.
Ukifuatilia muenendo wa Vita huko Gaza ni dhahiri kabisa nafsi yako itakuuma na Mauwaji ya haraiki kila kukicha huku Dunia ikikaa kimya pasi zuio au katazo lolote dhidi ya dhulma hii ya wana Gaza. Je ni...
Taifa la Israel lipo katikati ya dunia kigeographia.
Ni karibu kwenda Asia, Africa, Europe.
Mungu alichaguwa eneo hili ili litumike kwa ajili ya kueneza habari zake
Ilikuwa rahisi kuleta injili Africa, Asia na Europe. Mungu ni fundi
Wapagani kama kawaida yao watabisha
P.L.O. Lumumba ni profesa wa Kenya anayejulikana kwa maoni yake makali kuhusu masuala ya kisiasa.
Katika mazungumzo kuhusu vita vya Israeli na Wapalestina, anasisitiza mengi muhimu kwa mataifa kwa ajili ya suluhu.
Fuatilia ili upate ufahamu mzuri kuhusu mzozo huu.👇🏿
Mzozo wa Israeli na...
P.L.O. Lumumba ni profesa wa Kenya anayejulikana kwa maoni yake makali kuhusu masuala ya kisiasa.
Katika mazungumzo kuhusu vita vya Israeli na Wapalestina, anasisitiza mengi muhimu kwa mataifa kwa ajili ya suluhu.
Fuatilia Mtazamo wake ili upate ufahamu mzuri kuhusu mzozo huu.👇🏿
Mzozo wa...
Kichapo kinaendelea, Israel yamuua MOHAMED DEIF. Huyu bwana ndio yule alosifiwa siku Kadhaa humu JF na wale jamaa!
=============
JERUSALEM (AP) — The Israeli military said Thursday that it has confirmed that the head of Hamas’ military wing, Mohammed Deif, was killed in an airstrike in Gaza...
Wadau hamjamboni nyote?
Kumekuchaa
Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ameagiza Jeshi la nchi hiyo kufanya ishambulizi la moja kwa moja ndani ya ardhi ya Israel Ili kulipia kisasi dhidi ya mauaji ya Ismail haniyeh yaliyodaiwa kufanyiwa na nchi hiyo
Soma taarifa kamili hapo chini...
Kiongozi mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh ameuawa nchini Iran, kundi hilo limesema.
Katika taarifa iliyotolewa leo siku ya Jumatano, Hamas imesema Haniyeh aliuawa kufuatia uvamizi wa Israel kwenye makazi yake mjini Tehran.
Kwa mujibu wa kundi hilo, Haniyeh alifariki baada ya kushiriki sherehe za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.