jaji aondolewa ulinzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    Jaji Mkuu Martha Koome aituhumu serikali kwa kumuondolea walinzi wake. Asema ni shambulio dhidi ya Mahakama na Ofisi ya Jaji Mkuu

    Wakuu, Jaji Mkuu Martha Koome ameituhumu serikali, kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani, kwa kuondoa walinzi wake, hatua ambayo ameielezea kama shambulio dhidi ya Mahakama na ofisi ya Jaji Mkuu. Koome alitoa madai hayo katika barua aliyoiandika Alhamisi kwa Waziri wa Mambo ya Ndani Kipchumba...
Back
Top Bottom