jambo baya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Moto wa volcano

    Hakuna jambo baya kama kumuhukumu mtu kwa mambo asiyoweza kuyapanga

    Kwenye maisha kuna mambo ambayo mtu hawezi kuyapanga "Nature takes its course" hauwezi kupanga uzaliwe Taifa gani , Mkoa gani , Rangi gani , Kabila gani , familia ipi au hata Dini gani . Hakuna kitu kibaya kama kumukumu mtu kwa mambo ambayo hakupanga yatokee kwenye maisha yake.
  2. KikulachoChako

    Usaliti kwenye Ndoa: Jambo baya sana ambalo jamii inalichukulia kuwa la kawaida

    Sabal kheri waungwana. Nyakati fulani nilikuwa kwenye kijiwe kimoja tukibadilishana mawili matatu ya maisha na changamoto zake na kuangalia namna gani tunazikabili. Katika maongezi hayo likaibuka suala mambo ya ndoa kama ilivyo kawaida kuwa na yenyewe ni sehemu ya changamoto kwenye maisha yetu...
  3. Ricky Blair

    What's the worst thing to happen to you?

    Ni kitu gani kibaya kilichowahi kukutokea mpaka sasa na hujakisahau?
Back
Top Bottom