jambo baya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Hakuna jambo baya kama kumuhukumu mtu kwa mambo asiyoweza kuyapanga

    Kwenye maisha kuna mambo ambayo mtu hawezi kuyapanga "Nature takes its course" hauwezi kupanga uzaliwe Taifa gani , Mkoa gani , Rangi gani , Kabila gani , familia ipi au hata Dini gani . Hakuna kitu kibaya kama kumukumu mtu kwa mambo ambayo hakupanga yatokee kwenye maisha yake.
  2. Usaliti kwenye Ndoa: Jambo baya sana ambalo jamii inalichukulia kuwa la kawaida

    Sabal kheri waungwana. Nyakati fulani nilikuwa kwenye kijiwe kimoja tukibadilishana mawili matatu ya maisha na changamoto zake na kuangalia namna gani tunazikabili. Katika maongezi hayo likaibuka suala mambo ya ndoa kama ilivyo kawaida kuwa na yenyewe ni sehemu ya changamoto kwenye maisha yetu...
  3. What's the worst thing to happen to you?

    Ni kitu gani kibaya kilichowahi kukutokea mpaka sasa na hujakisahau?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…