Sina maneno mangi naomba niwakumbushe jambo waajiriwa.
Nambari 1: Kama uliweza kuajiriwa ni vyema ukatambua kuwa unaweza kufukuzwa kazi pia.
Nambari 2: Ukifa, ukistaafu, ukiacha kazi, ukihamishwa, ukipunguzwa kazini, ofisi unayofanyia kazi haitafungwa.
Itaendelea kama kawaida na itastawi kama...