Kamati inayosimamia kura ya Maoni ya #KatibaMpya katika Jamhuri ya Afrika ya Kati imetangaza Matokeo ya awali ambapo Katiba iliyopendekezwa imepita kwa zaidi ya 95%
Katiba hiyo inaondoa kikomo cha Vipindi Viwili vya Urais na kuongeza muda wa Muhula kutoka Miaka 5 hadi 7, pia inawazuia Wanasiasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.