Jamhuri Day (Republic Day) is a national holiday in Kenya, celebrated on 12 December each year. Jamhuri is the Swahili word for "republic" and the holiday is meant to officially mark the date when Kenya became a republic on 12th December 1964. The country became a republic after gaining full self-governance from the United Kingdom, after gaining independence on 1st June 1963. Jamhuri Day is regarded as Kenya's most important day, marked by numerous festivities which celebrate the country's cultural heritage and looks back at her journey to independence and self-governance.The entire Kenyan
Kwa mujibu wa katiba yetu ,rais aliyepo madarakani ikitokea kapata dharula ya ugonjwa ambao hawezi Tena kuhudumu kama rais wa nchi ama kupatwa na umauti basi makamu ndiye atarithi nafasi yake ,swali ni je huyu nchimbi anaweza kuvaa viatu vya rais ? Tunaweza kujikuta kwa mara ya kwanza tunapata...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi pamoja na wageni mbalimbali waliohudhuria Mkutano Mkuu wa 39 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 11 Machi, 2025.
dkt. samia
dkt. samia suluhu hassan
jamhurijamhuri ya muungano
mbalimbali
mkutano
mkutano mkuu
mkuu
muungano
pamoja
rais
rais wa jamhuri
samia
samia suluhu
samia suluhu hassan
suluhu
tanzania
viongozi
wageni
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Mkoani Dodoma.
ccm
chama
chama cha mapinduzi
dkt. samia
dkt. samia suluhu hassan
halmashauri
halmashauri kuu
halmashauri kuu ya ccm
jamhurijamhuri ya muungano
kamati
kamati kuu
kikao
kikao cha kamati kuu
kuu
mapinduzi
muungano
mwenyekiti
mwenyekiti wa chama
na rais
ndugu
rais
rais samia
rais wa jamhuri
samia
samia suluhu
samia suluhu hassan
suluhu
tanzania
Nimekutana na hii barua kutoka kwa Kaka yangu Cliford Ndimbo kuwa imevifungia viwanja vya Jamhuri, Kirumba, pamoja na Liti kwa kukosa vigezo vya ubora wa kuchezesha michezo ya ligi kuu.
Ni suala zuri na bora kutoa taarifa kwa umma kuwa kuna viwanja ambavyo vimekosa vigezo muhimu kikanuni ila...
Kuna watu wanachukulia poa utaratibu na haki iliyopewa timu ngeni kufanya mazoezi katika uwanja utakaochezewa mechi siku moja kabla ya mechi.
Wachezaji wanapokuwa wamefanya mazoezi katika uwanja wa vita watakaoenda kuutumia, hili ni suala la kiufundi na linasaidia kuandaa wachezaji kimwili na...
Kuna Dada mmoja anamporomoshea kashfa na kejeli za kila namna mume wake wa zamani, akimwita ka Omari.
Mbaya zaidi huyo ka Omari kakaa kimya, hajibu chochote
Tanga: Rais Samia akigawa mitungi ya gesi (LPG) na kuzungumza na wananchi wa Muheza, Tanga Februari 27, 2025.
https://www.youtube.com/live/f7YdbNKOKTs?si=3P4VZ7EdvyNewX9Q
Ester Barua ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Magila iliyopo Muheza mkoani Tanga akiwa kwenye kiti cha Rais Samia...
dkt. samia
dkt. samia suluhu hassan
gesi
jamhurijamhuri ya muungano
kuelekea 2025
kuzungumza
lpg
mitungi
mitungi ya gesi
muheza
muungano
rais
rais samia
rais samia muheza
rais samia tanga
rais wa jamhuri
samia
samia suluhu
samia suluhu hassan
suluhu
tanzania
wananchi
wilaya
ziara za samia
Tuchukulie Mfano, Kesi ya Mauaji ya Dada wa Bilionea Msuya.
Huyu Dada aliuwawa ndio, Kwa kuchinja kiasi cha mwili wake na Kichwa kutenganishwa.
Jamhuri kupitia Polisi ilikamata washukiwa, na masuala ya ushahidi, mwisho kesi ikaanza.
Hatimaye, Washukiwa kuachiwa Huru !!.
Ni kama Kesi...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametimiza ndoto ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere kwa kuweka Jiwe la Msingi la Mradi wa ujenzi wa Bwawa la Umwagiliaji Mkomazi. Mradi huo unatarajiwa kuwanufaisha Wananchi zaidi ya 20,000 Wilayani Korogwe. Mradi huo...
baba
baba wa taifa
dkt. samia
dkt. samia suluhu hassan
jamhurijamhuri ya muungano
jiwe
julius nyerere
kuweka
muungano
mwalimu
mwalimu julius nyerere
ndoto
nyerere
rais
rais wa jamhuri
samia
samia suluhu
samia suluhu hassan
suluhu
taifa
tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia wananchi wa Korogwe kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Chuo cha Ualimu Korogwe mkoani Tanga tarehe 24 Februari, 2025.
dkt. samia
dkt. samia suluhu hassan
hadhara
jamhurijamhuri ya muungano
katika
korogwe
mkutano
mkutano wa hadhara
muungano
rais
rais wa jamhuri
samia
samia suluhu
samia suluhu hassan
suluhu
tanzania
wananchi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasalimu washiriki wa mashindano ya kimataifa ya kusoma na kuhifadhi Quran yaliyofanyika leo kwenye uwanja wa Taifa wa Benjamin Mkapa muda mfupi kabla ya kuanza ziara yake ya kikazi mkoani Tanga, tarehe 23 Februari, 2025.
dkt. samia
dkt. samia suluhu hassan
jamhurijamhuri ya muungano
kimataifa
kuhifadhi
kuhifadhi quran
kusoma
mashindano
muungano
quran
rais
rais wa jamhuri
samia
samia suluhu
samia suluhu hassan
suluhu
tanzania
Rais Samia akifungua Mkutano wa 3 wa Nchi Zinazozalisha Kahawa Afrika Februari 22, 2025 Ukumbi wa JNICC Dar es Salaam
https://www.youtube.com/live/g5djiMf20HY?si=9JV2vTK9WBrKcyKu
Wageni kutoka mataifa mbalimbali barani Afrika wakishiriki Mkutano wa Tatu wa Nchi Zinazozalisha Kahawa Barani...
dkt. samia
dkt. samia suluhu hassan
jamhurijamhuri ya muungano
kahawa
kahawa afrika
mbalimbali
mkutano
muungano
nchi zinazozalisha kahawa
pamoja
rais
rais samia
rais wa jamhuri
samia
samia suluhu
samia suluhu hassan
suluhu
tanzania
uzalishaji wa kahawa
viongozi
wageni
Kesi baina ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC na Rwanda kuanza kusikilizwa leo Februari 12 na 13, 2025 katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu.
Kesi hiyo iliwasilishwa mahakamani hapo Agosti 21, 2023 dhidi ya Rwanda kwa madai ya ukiukwaji wa haki. Tuhuma za Congo dhidi ya Rwanda...
Brigedia General Antoine B. Ngondo; ni mmoja wa wanajeshi wa ngazi ya juu, waliokuwa mashariki ma nchi hiyo, wakati vita vya jeshi la nchi hiyo na kundi la waasi la M23 vimeshamiri.
Baada ya kuzidiwa na waasi, wenzake waliondoka na boti kuelekea Bukavu,kupitia ziwa Kivu. Kwa bahati mbaya...
Wadau hamjamboni nyote?
Takwimu sahihi kabisa
Kisiwa cha Greenland kina ukubwa wa skwea kilometa milioni 2.175.600
Jamhuri ya muungano wa tanzania Ina ukubwa skwea kilometa laki 947,300
Usiku mwema
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakaatuh.
Habari ya majukumu hapo ofisini kwako, bila shaka umzima wa afya na waendelea vyema na majukumu waliyokupatia waislamu katika kukitumikia kiti hicho. Pamoja na raddi na mivuguvugu mingi unayoipata toka kwa mahasimu wako wa kiitikadi lakini bado...
Barua ya wazi Kutoka Kwa Suleiman Said Bungara ( Bwege) Aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini kwenda kwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan
barua
barua ya wazi
jamhurijamhuri ya muungano
kutoka
kwenda
muungano
rais
rais wa jamhuri
samia
samia suluhu
samia suluhu hassan
suleiman
suluhu
tanzania
wazi
Jarida la Forbes
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametajwa kama moja ya wanawake 100 wenye nguvu zaidi Duniani na jarida la Forbes.
Ushawishi wake katika masuala ya Diplomasia na kuwa kinara wa Nishati safi Duniani ni baadhi ya sababu, namna anavyoendesha nchi...
dkt. samia
dkt. samia suluhu hassan
duniani
forbes
jamhurijamhuri ya muungano
jarida
moja
muungano
nguvu
rais
rais wa jamhuri
samia
samia suluhu
samia suluhu hassan
suluhu
tanzania
wanawake
wanawake 100
wenye
zaidi duniani
Sisi wachimbaji wadogo kutokea mkoani Tanga wilaya ya Tanga kata ya Kiomoni mtaa wa Kiomoni, tunamuomba mheshimiwa raisi awaamrishe makamishna wa mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro waweze kutulipa fidia zetu, tumekua tukidai fidia zetu miaka na miaka kutokea mwaka 2021, tunasomesha watoto katika...
baraza la mawaziri tanzania
ccm
hifadhi ya eneo la ngorongoro
jamhurijamhuri ya muungano
mfundo
mheshimiwa
muungano
ombi
raisi
samia
tanzania
wachimbaji
wachimbaji wadogo
wadogo
HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewapongeza Tabora United kwa ushindi wa goli 3-1 walioupata leo Novemba 7, 2024 dhidi ya Yanga SC.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Rais Samia amendika hivi:
“Pongezi kwa Tabora United kwa ushindi wenu dhidi ya...
dkt. samia
goli
habari
jamhurijamhuri ya muungano
muungano
novemba
rais
rais wa jamhuri
samia
samia suluhu
samia suluhu hassan
suluhu
tabora
tabora united
tanzania
united
ushindi