jamii dokta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. King Muchachu

    Madaktari wanaumia google kusoma vipimo

    Kunachangamoto sana kwa madaktari wa sasa, serikali inabidi waweke mpango vizuri kuhakikisha wanafuatiliwa, ili kujiridhisha na utendaji kazi wao. Binafsi nimekuwa muhanga mara mbili kupitia mtoto wangu wa miaka miwili, aliandikiwa ameze paracetamol 500mg kutwa mara tatu, Daktari huyo amefanya...
  2. Brone

    Hospitali nzuri kubadili meno ya bandia, Dar es Salaam

    Hali zenu Ndugu zangu hakika mpo sawa kiafya kwa uwezo wa Mungu Kikubwa Naomba mnijuze hospital nzuri yenye huduma za Kubadilisha meno Na kuweka bandia inagharimu kiasi gani cha pesa. Naombeni Msaada mwenye kujua, Nipo Dar Es salaam.
  3. R

    SoC02 Uraibu Mpya

    Naitwa Mundu nimezaliwa kwenye familia ya watoto saba. Baba yangu alifukuzwa kazi sababu ya ulevi na upinzani wa kisiasa mwaka 1996, mwaka mmoja tu baada ya mimi kuzaliwa nikiwa mtoto wa nne kati ya watoto saba. Familia haikuwa na amani sana mwanzoni kwa sababu ya ulevi uliopindukia na msongo...
  4. Z

    Naomba kujuzwa dawa ya kutibu Migraine na Tinnitus

    Msaada jamani kwa anaefaham dawa ta kutibu migrain na Tinnitus. Yaani kichwa kuuma sana upande mmoja au kwa nyuma juu ya shingo na kupata sauti flan ndani ya kichwa au masikio
  5. Gabb_y

    Download movie zilizotafsiri tafsiriwa pamoja na sizoni bure hapa

    *****†********
  6. M

    Naomba msaada kwa hili tatizo la chafya kwa mtoto mchanga

    Wakuu habari za kila siku na majukumu ya utafutaji wa kila siku! Naomba msaada, ushauri au tiba! mwanangu ana chini ya wiki moja tangu tumpokee☺️ ila anasumbuliwa na kwikwi inayodumu kwa muda kiasi cha mke wangu kuwa na wasiwasi. Shukrani, nawasilisha.
Back
Top Bottom