Kwanza kabisa naomba nianze kwa kusalimia
Wakubwa zangu Shikamoo, wadogo zangu Marahaba, Mashangazi Chei chei!,
Nimejiuliza sana hivi mliwezaje kujiunga na JamiiForums, maana nimejaribu kufanya tafiti kwenye jamii inayonizunguka simuoni mdada anayefanania kuwa na akaunti JF, wengi wao...