Baadhi ya Wafanyabiashara katika Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamelilalamikia Jeshi la Polisi kwa namna linavyoendesha oparesheni zake za kusaka waharifu ambapo katika siku za hivi karibuni baadhi ya Wananchi wamekuwa wakipigwa na jeshi hilo hasa katika nyakati za jioni na kuleta hofu kwa...