jamvi la habari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkurugenzi wa Jamvi la Habari, Habibu Mchange, adaiwa kushikiliwa na TAKUKURU Kigamboni

    Habibu Mchange, Mkurugenzi Mtendaji wa magazeti Jamvi la Habari, Times Observer, Tanzania Bora na mengineyo amedaiwa kushikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Kigamboni kwa saa kadhaa. Inadaiwa kuwa Mchange aliitwa TAKUKURU Ijumaa saa tatu asubuhi baada ya siku ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…