Wakuu!
Heri ya Siku yenu Wanawake wote wa hapa JF, nyie ni wa muhimu sana, tunawapenda❤️❤️❤️
Leo ni siku ya kusherehekea wanawake wote na yale wanayotufanyia kila siku kwa nguvu, upendo, na kujitolea.
Kutoka kwa mama, dada, binti, hadi marafiki wanawake ni nguzo muhimu katika maisha yetu...
Nakumbuka kuna mkaka alijisifia, maneno mengi kabla ya mechi, baada ya kumsusia mbususu dakika tano nyingi kamaliza, wakati anamwaga tui yule kaka alipiga yowe na kuanza kulia machozi kama yote mpaka nikaogopa 🤣🤣🤣🤣.
Alivyotulia akaniambia huwa anashindwa kujizuia mwili wake akiwa kwenye hiyo...
Nimeona kuna mtu kaandika anaenda na mkewe bao nne mpaka tano. Nimeshangaa, hiyo ndiyo midinyo mnayowapa hawa wanaume au ni chai tu.
Wewe raundi ngapi akienda unasema inatosha, kesho nayo siku?
Mimi akinipiga tatu labda tuwe tumemisiana sana la sivyo kesho yake kitandani atanikuta kama chura...
Ladies njooni tubadilishane uzoefu kidogo, wewe nini kimeshawahi kukukata au kukupunguzia msisimko? (kwenye mahusiano yako ya sasa au yaliyopita)
Baadhi ya mambo ambayo nimekua nayasikia mara kwa mara ni:-
Mwanaume kutokua mbunifu, kila siku style ile ile, kutojali kama umeridhika. Akifika...
Nimeshirikishwa mkasa wa binti mdogo wa miaka 23 ambaye ameingia kwenye ndoa wiki kadhaa zilizopita. Baada ya ndoa, mumewe ameanza kumuomba wafanye mapenzi kinyume na maumbile, jambo ambalo hakuwahi kufanya hapo kabla. Ilipotokea siku ya kwanza hakusema moja kwa moja, ila katikati ya kushiriki...
Siku ya wapendanao imekaribia, njooni tubadilishane uzoefu wa kuwapagawisha hawa vidume.
************************
Muhimu sana kuzingatia
Kama period yako ya mwisho (January) ulianza kati ya tarehe 28, 29, 30 au 31, basi mwishoni mwa wiki hii ikijumuisha ijumaa mpaka jumapili ni siku zako za...
Ushauri gani ulipewa na mzazi, iwe ni baba au mama, ukaufuata na umekusaidia kufika mpaka hapo ulipo?
Naanza:
“Atayekulisha ni mwema, ila utampa pia uwezo wa kukulaza njaa wakati wowote atakapoamua - jishughulishe na hakikisha hauwi tegemezi”. Ushauri kutoka kwa baba yangu (Mungu amrehemu)...
Njooni huku; naona kwenye ule uzi mwingine tumevamiwa na jinsia ya upande wa pili, ngoja tuwaachie.
Mahusiano ni kuvumiliana na kuchukuliana madhaifu yetu, ila kuna wakati unasema hapana, siwezi kuendelea.
Ladies, nini kilikutokea kwenye mahusiano kikafanya red light iwake kichwani na umuache...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.