Jane James Msoga (Jane Msoga) - Alikuwa Mwanachama wa CCM, na Mwenyekiti Umoja wa Wanawake Wilaya ya Sengerema mpaka umauti unamfika tarehe 01 Mei, 2024 katika Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Seko Toure.
📅 03 Mei, 2024
📍 Mwanza
Mwenyekiti wa UWT Taifa Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) amewasili Uwanja wa Ndege Mwanza usiku wa kuamkia tarehe 03 Mei, 2024 kushiriki mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti Umoja wa Wanawake Wilaya ya Sengerema Ndg. Jane James Msoga.
Ndg Jane alifariki tarehe 01 Mei, 2024...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.